selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
hospitali moja ya vchaa iliamua kuwatembeza vichaa wao siku moja,sasa katika safari yao wakaamua kupanda ndege,lakini wakati ndege iko angani sana msimamizi wa vichaa hao akaenda chooni lakini aliporudi akamkuta kichaa mmoja 2 kati ya wote amesimama kwenye mlango wa ndege hiyo huku mlango ukiwa wazi+msimamizi akamuuliza wako wapi wenzako?kichaa akajibu wameenda kucheza mpira huko nnje na mimi nangojea mmoja achoke niingie kucheza....msimamizi alizimia palepale hadi leo nae kichaa***end