Vibwaya

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,611
752,018
1458698855998.jpg
 
Hawa madogo mbona wameziba midomo nayo ni sehem ya tamaduni?

Hawajafunga midomo as such, nadhani ni majani Fulani wameweka mdomoni na kupuliza na ambayo hutoa mlio kama filimbi. Hata mimi wakati wa udogo wangu tulikuwa tunafanya hivyo wakati tunachunga ng'ombe. Anyway, naweza kuwa nimekosea, it all depends na utamaduni wa watu hao.
 
Hawajafunga midomo as such, nadhani ni majani Fulani wameweka mdomoni na kupuliza na ambayo hutoa mlio kama filimbi. Hata mimi wakati wa udogo wangu tulikuwa tunafanya hivyo wakati tunachunga ng'ombe. Anyway, naweza kuwa nimekosea, it all depends na utamaduni wa watu hao.

africa tuna culture flan hiv amaizing yan!
Nimekumbuka kitu
 
Filimbi za mdomoni udogoni kwakweli umenikumbusha mbali.... Nilikuwa na mchuchu wangu nikifika kwao nalia Kama bundi Kisha anatoka

Wewe mshana jr, usituchekeshe bwana, hivi wewe kweli ulichunga ng'ombe wewe na kuwinda sungura, swala na wanyama wengine wadogo wadogo. Wewe inaonekana hujakulia kijijini wewe, teh teh teh.
 
Wewe mshana jr, usituchekeshe bwana, hivi wewe kweli ulichunga ng'ombe wewe na kuwinda sungura, swala na wanyama wengine wadogo wadogo. Wewe inaonekana hujakulia kijijini wewe, teh teh teh.
Mmh aisee ujue nakaribia nusu karne nimewinda mpaka ndezi na kutembea zaidi ya km 15 kwenda shamba
 
Mmh aisee ujue nakaribia nusu karne nimewinda mpaka ndezi na kutembea zaidi ya km 15 kwenda shamba

Duh, Aisee, Mshana jr. una mambo kama umeweza kuwinda ndezi na kukimbiza sungura, basi wewe ni kiboko. Good night, comrade...
 
Back
Top Bottom