Vibaraka wa mabeberu wanaungana!

Vibaraka wa mabeberu wanaungana!

Juzi Chadema wamesema wanaweka nia ya kuweka mgombea wa urais Zanzibar,ila kwa sababu hawana nguvu kisiasa hapa Tanzania baada ya kujulikana ni mafisadi na matapeli wa kisiasa wameomba msaada kutoka vyama vingine vya upinzani.
Chama pekee ambacho kimeonesha nia ya kuungana nao ni Act wazalendo.
Sijui unaandika upuuzi gani
 
Yamekugusa na wewe ni mmoja wao. Wacheni tabia mbaya ndiyo maana Mungu alitia kiberiti Sodoma na Gomora.
Matusi hayasaidii. October inakaribia tutakuwa tunauliza kama mlitaka tufe kwa maelfu mnataka kura zetu za nini?
 
Kwani Chadema ipo? Maana toka 2015 ilibakiza jina tu baada ya Dk Slaa kuondoka.
Kama haipo kumbe unashinda humu kujadili nini? Wewe kweli msukule, mada za Chadema muanzishe wenyewe halafu mnadai haipo. Nimekumbuka kumbe akili zote zimekombwa mumebakishiwa za kutumika tu.
FB_IMG_1589682992908.jpg
 
Japan sio mabeberu ni wadau wa maendeleo. Miaka mingi misaada yao haina mashariti wala nia ya kutunyonya kimabavu. Tanzania ni member WB kama kukopa ni haki yake.
Kwa hiyo sasa hiv wb sio mabeberu tena?
Sisemi kuwa si haki ya tanzania kukopa hapana. Tuna haki.
Ni nacho kataa ni ile hali ya kusambaza propaganda uwa wb nao mabeberu wkt mirad mingi tumefanya kwa misaada yao. Japan nao maybe..
Lakin tusitumie mirad ambayo tunajua dhahiri wametufadhili wao au tumekopa kwao halaf tunajitutumua humu ndani kuwaita mabeberu. Hlaf kesho yake tunakopa tena. It not wise kwakweli.
 
Hata sisi tunatakiwa kufanya hivyo. Ili kudhibiti wajinga ambao wanatukana viongozi na kusambaza uongo.
Viongozi wa serikal nzima wako twitter. Hupo hapo?
Asilimia kubwa ya marais wote wako twitter.
Sisem it impossible. Lakin msiikimbie kwasababu ya kigogo.
Twitter ni mtandao wa watu wazima ndio maana viongoz wana account kule.
Incase ulikuwa hujui.. china waliblock kwasababu walitaka twitter iwape majina ya watumiaji wake twitter wakakataa.
 
Siwezi kushangaa juu ya hili jambo sababu nia yao mbaya kwa taifa letu inajulikana. Wao siku zote ni kuliombea mabaya taifa letu maana hawataki lifanikiwe kimaendeleo au hata kuwa na amani na utulivu.

Juzi Chadema wamesema wanaweka nia ya kuweka mgombea wa urais Zanzibar,ila kwa sababu hawana nguvu kisiasa hapa Tanzania baada ya kujulikana ni mafisadi na matapeli wa kisiasa wameomba msaada kutoka vyama vingine vya upinzani.
Chama pekee ambacho kimeonesha nia ya kuungana nao ni Act wazalendo.

Na kama waswahili wanavyosema ndege wa rangi moja huruka pamoja. Hawa kwa pamoja huwa hawalitakii mema taifa letu. Wao muda wote huwa wanatumiwa na mabeberu kuhakikisha Tanzania haisongi mbele.

Mfano Act wazalendo walishamtuma kiongozi wao aende Usa kuzuia Tanzania isipate mkopo kwa ajili ya maendeleo ya elimu,Chadema walimuunga mkono asilimia mia.

Ulipoingia ugonjwa wa Covid-19 wao walikuwa wanaomba watanzania wafe kwa wingi ili waibeze Serikali ya Ccm kuwa ilikwama kupambana na ugonjwa huu sababu haikuweka lockdown. Na watu tumewashuhudia viongozi wao wakiombea watanzania wafe kama kuku wa mdondo mbele ya luninga ya Aljazeera.

Swali linakuja nyie vibaraka wa mabeberu hata mkiungana huko Zanzibar au hata kwa urais wa JMT nani atawachagua nyie?

Kama mlikuwa mnataka watanzania wafe kwa wingi ili nyie mpate manufaa ya kisiasa. Nani atawachagua nyie?

Na hata kwenye uchaguzi mkuu swali kubwa litakuwa mlitaka tufe sasa mnatuomba kura za nini?

Nyie vibaraka wa mabeberu na matapeli wa kisiasa.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
tena wasiishie kuungana tu... wahakikishe wanapata na msaada wa kutosha kutoka kwa "beberus" ili watusaidie kumng'oa huyu mkoloni mweusi.

walete walete wakinukishe hadi mkoloni mweusi aombe poo!
 
Back
Top Bottom