Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,100
- 51,710
Sio mimi ila ni sheria za kimtandao. Twitter hawana server tz.Kumbe unajua hawawezi kutoa data za hao wahuni wanaofanya makosa. Dawa ni kuufungia hapa Tanzania.
Na kwa record tu ni kuwa kama mlishindwa kupata identity za watumiaji wa mtandao wa jamii forums.
Mtandao wa hapa nyumbani?
Na bado haujafungiwa.
Twitter mtaweza?
Kitaalam labda mzime internet, la si hivyo kuna njia zaid ya tano za ku access twitter.
Kuacha hii mliyozoea.
Good example ni china.. pamoja kwamba wamefungiwa lakin bado kuna wachina wako twitter na wana post vitu. Wamewezaje na mtandao umefungiwa kwao?
Wanatumiaje whatsapp japokuwa imefungiwa kwao?
Simple. Maarifa.