Vibaraka wa mabeberu wanaungana!

Vibaraka wa mabeberu wanaungana!

Karib tanzania. Na hizi ndio siasa za sasa hiv.ukiwabana wanapotea.
Kuna kipindi mabeberu walitunyima pesa zao za millenium challenge kisa tukubaliane na ushoga. Tulikataa upuuzi wao. Kw hiyo wakija na mashariti ya kibeberu hatukubali hata kidogo.
 
Karib tanzania. Na hizi ndio siasa za sasa hiv.ukiwabana wanapotea.
Kumbuka imperialism ni kitu gani ndio utajua. Kati ya misaada ya kweli na misaada ya imperialist. Achana na waduwanzi wa Chadema.
 
Subiri tuone huo muungano wa vibaraka wa mabeberu utakuwa na impact gani.
Mikwara mingine peleka bar tena nenda na bastola.
Mabeberu watoa leo Scholarship kwa watanzania 50 aisee Common Wealthy ...sasa utaona wasaliti eti ndiyo watenda kusoma yaani!
 
Hivi hii ishara huwa inamaanisha nini?
FB_IMG_1591479815656.jpeg
 
Hivi ni kweli kuna nchi zilizoendelea wanatuchukia?na kama ndiyo je ni kwa lipi?
 
Mabeberu watoa leo Scholarship kwa watanzania 50 aisee Common Wealthy ...sasa utaona wasaliti eti ndiyo watenda kusoma yaani!
Ishu ni scholariship au ubeberu? Unaweza kupewa scholariship huku unaambiwa makampuni yanayochimba madinin yasilipe kodi. Jambo ambalo mtia nia wenu wa urais alikuwa analitetea.
 
Kuna kipindi mabeberu walitunyima pesa zao za millenium challenge kisa tukubaliane na ushoga. Tulikataa upuuzi wao. Kw hiyo wakija na mashariti ya kibeberu hatukubali hata kidogo.
Ushoga ni kitu kidogo. Binafsi sikubaliani nacho.
Unajua mirad mingi mikubwa nchi hii imefanyika kwa mikopo yenye masharti.?
 
Aisee hii comment umejamba ile mbaya

Yaani ni mbrrrrrrrr mbrrrrrrrr mbrrrrrrrr mbrrrrrrrr mbrrrrrrrr mbrrrrrrrr mbrrrrrrrr
Kwa hiyo huoni kinachofanyika huko Rufiji? Subirini mchukue nchi ili mruhusu ushoga. Maana wabunhe wenu wa kike nasikia walishaanza mambo ya kizungu.
 
Hata Tanzania inatakiwa ifutwe. Maana inatumiwa na wahuni wa Chadema kutukana viongozi.
No offense na sitetei chadema maana sina uhusiano nao.
In your definition twitter ifungwe sababu ya chadema?
I mean twiter ni mtandao wa kimataifa.
Viongozi karib wote wa serikal wako kule..
Na si yakwetu tu.. serikal za dunia nzima.
Yaan twitter ifungwe kwasababu mmeshindwa kuidhibi chadema mitandaoni?
Hakuna nchi imefunga twitter eti kwasababu ya chama pinzani.
Hiyo ni moja ya sababu za kitoto kuwahi kuzisikia.
Na sion likitokea
 
Ushoga ni kitu kidogo. Binafsi sikubaliani nacho.
Unajua mirad mingi mikubwa nchi hii imefanyika kwa mikopo yenye masharti.?
Kama mfano mradi gani? Ambao unamashariti ya kibeberu? Ushoga sio ishu ndogo ndio maana hapa Tanzania ni jinai.
 
No offense na sitetei chadema maana sina uhusiano nao.
In your definition twitter ifungwe sababu ya chadema?
I mean twiter ni mtandao wa kimataifa.
Viongozi karib wote wa serikal wako kule..
Na si yakwetu tu.. serikal za dunia nzima.
Yaan twitter ifungwe kwasababu mmeshindwa kuidhibi chadema mitandaoni?
Hakuna nchi imefunga twitter eti kwasababu ya chama pinzani.
Hiyo ni moja ya sababu za kitoto kuwahi kuzisikia.
Na sion likitokea
Kudhibiti maana yake serikali iwe na access ya kuwapata hao wanaotukana maana ni kosa la jinai. Twitter wanaweza kuwataja ni akina nani na wapo wapi? Mbona China walifunga na serikali inafanya kazi vizuri tu?
 
Kudhibiti maana yake serikali iwe na access ya kuwapata hao wanaotukana maana ni kosa la jinai. Twitter wanaweza kuwataja ni akina nani na wapo wapi? Mbona China walifunga na serikali inafanya kazi vizuri tu?
Yaani twitter watoe data za watumiaji wao?
Kwanza ni kinyume na sheria za kumtandao.

America walishajaribu hilo, wakapelekana mahakamani na twitter lakin wakashindwa.
China wameshalazimisha kutaka data za watumiaji. Na si twitter tu hadi whatsapp.
Wakakataa ndio maana hiyo mitandao wakafungia.

Kwamba twitter isipofungiwa serikali haifanyi kazi vizuri? Twitter iko miaka yote hiyo na serikal imekuwa ikifanya kazi kama kawaida.
So what your point here?
 
Yaani twitter watoe data za watumiaji wao?
Kwanza ni kinyume na sheria za kumtandao.

America walishajaribu hilo, wakapelekana mahakamani na twitter lakin wakashindwa.
China wameshalazimisha kutaka data za watumiaji. Na si twitter tu hadi whatsapp.
Wakakataa ndio maana hiyo mitandao wakafungia.

Kwamba twitter isipofungiwa serikali haifanyi kazi vizuri? Twitter iko miaka yote hiyo na serikal imekuwa ikifanya kazi kama kawaida.
So what your point here?
Kumbe unajua hawawezi kutoa data za hao wahuni wanaofanya makosa. Dawa ni kuufungia hapa Tanzania.
 
Siwezi kushangaa juu ya hili jambo sababu nia yao mbaya kwa taifa letu inajulikana. Wao siku zote ni kuliombea mabaya taifa letu maana hawataki lifanikiwe kimaendeleo au hata kuwa na amani na utulivu.

Juzi Chadema wamesema wanaweka nia ya kuweka mgombea wa urais Zanzibar,ila kwa sababu hawana nguvu kisiasa hapa Tanzania baada ya kujulikana ni mafisadi na matapeli wa kisiasa wameomba msaada kutoka vyama vingine vya upinzani.
Chama pekee ambacho kimeonesha nia ya kuungana nao ni Act wazalendo.

Na kama waswahili wanavyosema ndege wa rangi moja huruka pamoja. Hawa kwa pamoja huwa hawalitakii mema taifa letu. Wao muda wote huwa wanatumiwa na mabeberu kuhakikisha Tanzania haisongi mbele.

Mfano Act wazalendo walishamtuma kiongozi wao aende Usa kuzuia Tanzania isipate mkopo kwa ajili ya maendeleo ya elimu,Chadema walimuunga mkono asilimia mia.

Ulipoingia ugonjwa wa Covid-19 wao walikuwa wanaomba watanzania wafe kwa wingi ili waibeze Serikali ya Ccm kuwa ilikwama kupambana na ugonjwa huu sababu haikuweka lockdown. Na watu tumewashuhudia viongozi wao wakiombea watanzania wafe kama kuku wa mdondo mbele ya luninga ya Aljazeera.

Swali linakuja nyie vibaraka wa mabeberu hata mkiungana huko Zanzibar au hata kwa urais wa JMT nani atawachagua nyie?

Kama mlikuwa mnataka watanzania wafe kwa wingi ili nyie mpate manufaa ya kisiasa. Nani atawachagua nyie?

Na hata kwenye uchaguzi mkuu swali kubwa litakuwa mlitaka tufe sasa mnatuomba kura za nini?

Nyie vibaraka wa mabeberu na matapeli wa kisiasa.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Donor country inahitaji mkopo??🤩🤩🤩
 
Back
Top Bottom