Mbayo wa Giika
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 206
- 108
Kumbe na wewe ulikuwa mdau!!! Hongera sana. pia na mimi wife kapata!!
Hongera zenu! Ndoa inakosa raha mnapokuwa mbalimbali!
Kumbe na wewe ulikuwa mdau!!! Hongera sana. pia na mimi wife kapata!!
Hongera zenu! Ndoa inakosa raha mnapokuwa mbalimbali!
sio mstaarabu msukuma gani huyuuuu sasa..!!Mmm geniveros usifike huko mkuu
ila mi niliambiwa yanatoka kuanzia trh 20 maana nilishachokaNawe hongera sana ila huu mpango wa kuchelewesha namna hii wanakosea sana!
kweli kabisa wengine mpaka makonda wa mkoani wametukremuHongera zenu! Ndoa inakosa raha mnapokuwa mbalimbali!
jamani hata mimi nimepata uhamisho namshukuru saaaana MUNGU na wadau kwa msaada wa taarifa... kwa ambae hajaona jina lake kwa kukosa nyenzo basi andika jina lako mkoa unaotoka, halmashauri unayotoka na halmashauri unayokwenda nitakusaidia kuangalia na kukupatia majibu haraka iwezekanavyo... MUNGU awabariki sana wadau woote...
nisaidie hilo mkuu alexander gasper haule.anatoka singida vijijini anaenda njombe
anatoka wapi anaenda wapi?
nisaidie hilo mkuu alexander gasper haule.anatoka singida vijijini anaenda njombe
sijaliona wangu
Anatoka chunya kwenda manispaa ya morogoro mkuu
Vipi hiyo ya Rose G.Ng'olo Mkuu,imekubali au ndo ntaendelea kusubiri sana!!!
Vipi hiyo ya njombe-moro kaka,imekubali au la!!hapa presha juu,nimechoka kukaa peke yangu
Anatoka chunya kwenda morogoro manispaa
sijaliona ila km una smartphone download adobe programme utaweza kuacces pdf mi jana kuna mtu kaelekeza humu nimedownload imekubali naangalia tu majina so hebu jaribu uangalie vizurii
Daaah mkuu pole sana me nahisi unakosea kitu kimoja; haukutakiwa kuwaona hao jamaa maana ukishajuana nae na ukimkatalia kutoa hela inakuwa rahisi kulipiza kisasi kwa vile anakujua. Mimi nimesha washughulikia uhamisho watu wawili bila kuwaona hao wa tamisemi, cha muhimu upata barua ya kukubaliwa kule unakotaka kuhamia baaasi. All in all endelea kufight siku moja utafanikiwa