Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,941
- 3,304
Check on this link guys.
http://www.pmoralg.go.tz/noticeboar...-Watumishi-wa-Serikali-za-Mitaa-January-2015/
http://www.pmoralg.go.tz/noticeboar...-Watumishi-wa-Serikali-za-Mitaa-January-2015/
majina yametoka nipe lako nikuchekia
Niangalizie Christian R Christopher
Halafu amepata ila mitusi mingiiii
ntajie unakotoka na unakoenda
Halmashauri ya Mbeya to Chamwino[/QUOTE
nakujibu
Halmashauri ya Mbeya to Chamwino[/QUOTE
nakujibu
Tayari nimeliona ila wameandika Christina R Christopher.
Mkuu geniveros Ubarikiwe kwa kuwasaidia wadau
Tayari nimeliona ila wameandika Christina R Christopher.
poa bro hongera sana watu sasa roho zitapoa nami nimepata pia
poa bro hongera sana
watu sasa roho zitapoa
nami nimepata pia
Kumbe na wewe ulikuwa mdau!!! Hongera sana. pia na mimi wife kapata!!
yes bro ndo maana nilikua makini sana na nkampigia wa tamisemi ndo ambae alinambia leo majina yametokaKumbe na wewe ulikuwa mdau!!! Hongera sana. pia na mimi wife kapata!!
Jamani ingieni tamisemi.mtakuta kichwa cha habari kilichoandikwa hivi:-MAJINA YA WALIMU UHAMISHO WA VIBALI MAALUM DEC 2014/JANUARY 2015.tatizo ukishadownload ukitaka kufungua unaambiwa can't open file.je ni geresha au????????,?,,??,???.
mkuu kwani ni walimu tuu na watumishi wa sekta zingine vipi?
Mkuu zigzaga usitukane masola m. Kwilenga amepata kuhamia geita
Aisee naomba niangalizie na Rose G.Ng'olo,please!!!
poa bro hongera sana
watu sasa roho zitapoa
nami nimepata pia
Nawe hongera sana ila huu mpango wa kuchelewesha namna hii wanakosea sana!