Bado kimya?Walioahidi mda wafatilie kuona kinachojiri,mda unaenda..
Jamani ingieni tamisemi.mtakuta kichwa cha habari kilichoandikwa hivi:-MAJINA YA WALIMU UHAMISHO WA VIBALI MAALUM DEC 2014/JANUARY 2015.tatizo ukishadownload ukitaka kufungua unaambiwa can't open file.je ni geresha au????????,?,,??,???.
Hilo tangazo linahusu waliopata uhamisho Kwa sababu maalumu.jina lako sijaliona.Mimi simu yangu ilikuwa haifungui pdf ila baada ya kuinstall adobe sahv inafungua chakukushauli mtembelee mtaalam wa mambo ya IT aliyokaribu nawe kwa msaaada zaidi
uhamisho wa mwezi desemba mwaka jana?
Hao watakuwa wanazungumzia uhamisho wa vibali maalum Oct 2014 wakati watu wanataka uhamisho wa Dec
majina yametoka nimeongea na mtu wa tamisemi sasa hv