Vibali vya ushamisho TAMISEMI

Vibali vya ushamisho TAMISEMI

geniveros,

Ahsante Mkuu,ntakutafuta ntakapokuwa tayari kwa hiyo issue,sio siri wanatuweka majaribuni kukaa mbali name wenza wetu,wengine habari ya michepuko hatupendi kabisaaa,ila mazingira yanalazimisha,kiasi kwamba unafanya huku roho inauma!
 
Last edited by a moderator:
Ahsante Mkuu,ntakutafuta ntakapokuwa tayari kwa hiyo issue,sio siri wanatuweka majaribuni kukaa mbali name wenza wetu,wengine habari ya michepuko hatupendi kabisaaa,ila mazingira yanalazimisha,kiasi kwamba unafanya huku roho inauma!!!

pole sana bro ila tamisemi kuna watu wanapiga hela sana kwa ishu hizo za uhamisho hasa jinsia me pale ukifika ukawakuta umeliwa na ukigoma huami ila wale wamama ntawanenea vbaya nkisema wanoko
wastaarabu sana wale
 
Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.

Endapo utahitaji kuangaliziwa KAMA umehamishwa kituo cha kazi tafadhali fanya yafuatayo;

1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834 mfano PAUL PAUL(UHAMISHO-
TAMISEMI)

2.Huduma hii utatozwa tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa MPESA AU TIGO PESA
KWENDA NAMBA 0768260834(mpesa) 0653791475(tigo pesa).

3.Tutakujibu ndani ya dk.1 tu,Tuma kwanza pesa ndio utajibiwa.

4.TUNAOMBA UTUAMINI SMS ZOTE LAZIMA ZIJIBIWE PIA NIKUHAKIKISHIE
KWAMBA,TUPO VIZURI.(usipige simu)
 
Duuuh!shughuli na ambao majina hayakuwepo kwalio kosa na waliopata watakumbukwa kweli June?kazi kwei kwei.

nenda kwa RAS ukajue km barua zimeenda na km zimeenda kahahakishe tamisemi nenda na photocopy zingine mana wanaweza kukuacha
 
Naomba kujulishwa, VIBALI MAALUM VINAPATIKANAJE, VYA KUTOKA MKOA MMOJA KWENDA MWINGNE?
 
Back
Top Bottom