Vibali vya ushamisho TAMISEMI

Vibali vya ushamisho TAMISEMI

Msingida

Vibali tayari vimetoka. Wanaanza kutuma kwanza kwenye halmashauri kisha baadaye wanaweka majina Mtandaoni. Mi mwenyewe niliomba na nimepigiwa simu na Mfanyakazi wa halmashauri kwa Mkurugenzi kwamba, niende Ijumaa kuchukua kibali.
 
Last edited by a moderator:
Vibali tayari vimetoka. Wanaanza kutuma kwanza kwenye halmashauri kisha
baadaye wanaweka majina Mtandaoni. Mi mwenyewe niliomba na nimepigiwa
simu na Mfanyakazi wa halmashauri kwa Mkurugenzi kwamba, niende Ijumaa
kuchukua kibali.

Ni kweli Mkuu,hata wife wangu kapigiwa leo kuarifiwa kuwa kibali kimetoka,afatilie barua kwa DED
 
Back
Top Bottom