vibaka wa ndoa

vibaka wa ndoa

royna

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
479
Reaction score
336
inabidi tu leo niseme mwanamke mimi! eti mimi nimewabatiza wanawake wote wanotembea na waume wa wenzao na kuwaita vibaka wa ndoa! is it a very negative name au ni sawa? kwa nini hatwtulii nao wakapata waume zao, kutwa kucha kuleta mpasuko kwenye ndoa za wenzao? na walio wengi, hata ukiondoka ukawaachia, they cant even make a wife and a home!du!
 
Kwani kibaka akikwapua lolote anakuwa na mpango wa kukiendeleza au ni mwaribifu tu?
 
inabidi tu leo niseme mwanamke mimi! eti mimi nimewabatiza wanawake wote wanotembea na waume wa wenzao na kuwaita vibaka wa ndoa! is it a very negative name au ni sawa? kwa nini hatwtulii nao wakapata waume zao, kutwa kucha kuleta mpasuko kwenye ndoa za wenzao? na walio wengi, hata ukiondoka ukawaachia, they cant even make a wife and a home!du!
Nakutakia wikiendi njema royna, naomba tu uniruhusu nimkabidhi ujumbe huu dada yangu mpendwa katlego
 
Last edited by a moderator:
Umeonaaa kuna wengine wamepigwa chini lakini bado wanajipendekeza heee mbona midume imejaa jamani hapa town au ndo hana vigezo kama vya yule mume wa mtu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hawawezi kuwa vibaka wa ndoa maana hawaibi ndoa. Wanaiba hela...
 
inabidi tu leo niseme mwanamke mimi! eti mimi nimewabatiza wanawake wote wanotembea na waume wa wenzao na kuwaita vibaka wa ndoa! is it a very negative name au ni sawa? kwa nini hatwtulii nao wakapata waume zao, kutwa kucha kuleta mpasuko kwenye ndoa za wenzao? na walio wengi, hata ukiondoka ukawaachia, they cant even make a wife and a home!du!

wewe wa-label tuu. mwenzio wanakula rha na waume za watu..
 
Kwa hiyo wanaibaka ndoa ......................!
Kosa la jinai hili la kubaka ......................!:A S 39:
 
inabidi tu leo niseme mwanamke mimi! eti mimi nimewabatiza wanawake wote wanotembea na waume wa wenzao na kuwaita vibaka wa ndoa! is it a very negative name au ni sawa? kwa nini hatwtulii nao wakapata waume zao, kutwa kucha kuleta mpasuko kwenye ndoa za wenzao? na walio wengi, hata ukiondoka ukawaachia, they cant even make a wife and a home!du!
Ni vibaka tu, na wataishia kuwa vibaka wasipomkubali Mungu, hawajitambua wanajidanganya mioyo yao, kwa ujinga wao, na hao waume wasiojitambua wasiojua kupenda na kujali familia zao. Wanawake wanaotembea na waume za watu na hata wengine kuwa wake wadogo wanajidanganya na kufa kwa mawazo kwa sababu siku zote wanaishi kwa mashaka, wanahitaji maombi, tembea na mume wa mtu,zaa nae hata ukiweza olewa kabisa lakini ukweli ni kwamba hutakaa uwe na amani, hutakaa uwe mke mkubwa,haijalishi mke anamatatizo gani hawatakaa wafanane nae ndo maana mara zote wamejaa stress kwa kuiba waume za watu.
Na nikweli ukimwachia hata akidumu lakini anaishi kwa kukosa amani na kutojiamini kwa sababu mwanamke anayejitambua hawezi kuhangaika na waume za watu ni kibaka tu mpaka Neema ya Mungu ikimpitia ndo afunguke. Mimi nawahurumia hao vibaka wa ndoa wa kike kwa wakiume, ukiona m-baba anavyohangaika na vidumu kwa upendo wa kinafki wanahitaji maombi kwa kweli waondokane na ukibaka.
Na huwa nashangaa wanawake kujitesa kuhangaika na mume wa mtu mwisho unaumia mwenyewe. wanazalishwa na kuanza kulilia haki za mke mkubwa nawapa pole sana. Ni aibu mpaka watoto wao wakikuwa wanaelewa mama alikuwa hajatulia, mama alinizaa kwa mume wa mtu.sijui huwa wanawaambia nini watoto wao, Raha ya mume awe wa kwako mwenyewe, hakuna mwanamke anayependa kushare. Na waume vibaka mjue hakuna mwanamke anayependa kushare, hata kama wako na wewe moyoni na machoni hata hao vidumu huwa wanawadharau, na wake zenu pia hata akiendelea kuwa na wewe anakudharau, ndo maana wanaume wengi wanakufa ovyo kwa presha walizojitafutia wenyewe. na mara zote mwisho wa hao vibaka unakuwa mbaya sana.
Na wanaume vibaka wa ndoa zenu wenyewe,mnaotesa wake zenu na kuvunja maagano mliyotamka na kukiri mbele za Mungu, mpaka maofisini na mtaani mlikubali kuwa huyu ni mke wangu tena uka sign ndoa ya mke mmoja leo mnahangaika na wanawake wengine mtubu mumrudie Mungu.
Mwisho nawapa pole manawake wote walioolewa na wanaume wanaotoka nje ya ndoa. Mtumaini Mungu siku zote atakuinua.simama katika nafasi yako kama ikupavyo si kushindana na vibaka, mume anayetoka nje ya ndoa yake hiyo aibu itabaki kwake na hao vibaka wenzie. waombeeni hao vibaka ushetani uwatoke. Hata mume akikuacha kwa ajili ya kidumu, we mtumaini Mungu akikupa amani ya kweli simama lea watoto usisononeke kwa dhambi ya wengine.
 
Hawawezi kuwa vibaka wa ndoa maana hawaibi ndoa. Wanaiba hela...
Wanaiba ela na kujibatiza upendo,mwisho wanavurunga ndoa zinakufa. pia wapo waanoiba ndoa wanahamia kabisa kwenye vitanda vya wenzao, na kuhakikisha talaka inatolewa. lakini Mungu ni mwema mara zote anawapigania wenye haki.
 
Wako akiwa kwako bibi weee,akitoka nje wa wote! kwani mtoto mdogo asijue kama ana mke, watoto na wajukuu? alifatwa au yeye ndo alifata? unataka wenzio wakale wapi polisi? kizuri kula na wenzio atii!


 
Wanaume wengi hawajatulia hata kidogo,kuna kidumu cha mme wangu kilikuwa kinadanganywa basi kikajiona yeye ndo yeye,hakujua kuwa mwanaume kama hajatulia hajatulia tu,kumbe vidumu wapo kibao,nikawaangunisha watatu wote wakajuanaaaa,hahahah Mme wangu alivyokuwa anawadanganya hadi huruma.Halafu sasa wao walikuwa hawajuani,kila mmoja alinijua mimi tu.So kila mmoja alijua baada Ya mkewe yaani mimi basi ni yeye.Wanaume ni janga la taifa
 
Wako akiwa kwako bibi weee,akitoka nje wa wote! kwani mtoto mdogo asijue kama ana mke, watoto na wajukuu? alifatwa au yeye ndo alifata? unataka wenzio wakale wapi polisi? kizuri kula na wenzio atii!


Huu ni ujinga tu,na ukimwi mtaugua wote,
 
Wanaume wengi hawajatulia hata kidogo,kuna kidumu cha mme wangu kilikuwa kinadanganywa basi kikajiona yeye ndo yeye,hakujua kuwa mwanaume kama hajatulia hajatulia tu,kumbe vidumu wapo kibao,nikawaangunisha watatu wote wakajuanaaaa,hahahah Mme wangu alivyokuwa anawadanganya hadi huruma.Halafu sasa wao walikuwa hawajuani,kila mmoja alinijua mimi tu.So kila mmoja alijua baada Ya mkewe yaani mimi basi ni yeye.Wanaume ni janga la taifa

Hayo ndo maneno sasa,sio kuwasimanga wanawake wenzenu wakati tatizo mnalijua.
 
inabidi tu leo niseme mwanamke mimi! eti mimi nimewabatiza wanawake wote wanotembea na waume wa wenzao na kuwaita vibaka wa ndoa! is it a very negative name au ni sawa? kwa nini hatwtulii nao wakapata waume zao, kutwa kucha kuleta mpasuko kwenye ndoa za wenzao? na walio wengi, hata ukiondoka ukawaachia, they cant even make a wife and a home!du!

Na hao wanaume pia wabatize. Mimi naamini it takes 2 to tango. Wote wanamakosa, kwani na huyo mme kapitiliwa kwamba anafamilia?
 
Hayo ndo maneno sasa,sio kuwasimanga wanawake wenzenu wakati tatizo mnalijua.
na wewe ukijua kuwa ni mme wa mtu,kwa nini unaendelea nae?na nyie wanawake mnaotembea na waume za watu ni janga la taifa pia.mnaharibu familia za watu ambazo ndo msingi wa Taifa
 
Back
Top Bottom