Vibaka kuzunguka Ikulu, Usalama upo?

Vibaka kuzunguka Ikulu, Usalama upo?

Hiyo sehemu ni hatari san, kuna rafiki yangu( Jerry) gari ilimzimikia saa 6 ya usiku, akapigwa mapanga mpaka leo ni mlevu wa mguu, huwa wanajificha ndani ya ule msitu, na wakifanya tukio wanaingia ndani ya msitu
 
Vijana 6 wamekamatwa usiku huu baada ya kuhusika na wizi kwa kumtishia muuza sigara na karanga maeneo ya Ocean Road kuelekea BOT.

Vijana hawa walimtishia huyu muuzaji sigara akiwa na pakiti kumi za sigara na karanga zisizozidi za sh5000! Baada ya kuoneshwa panga na kisu aliwakabidhi mzigo na kutishiwa kuuawa kama atapiga kelele!

Kijana akajificha sehemu alipoona pikpiki akaomba msaada wakaenda kuwasubiria maeneo ya KFC!

Hapo ndipo kijana akishirikiana na walinzi wengine waliokuwa wakiwasubiri kwa hamu wakapiga ukunga wa wezi! Wazee wa CRDB wakamaliza kazi yao huku waungwana wanawarushia mawe vichwani.

Nimeacha wanasubiri defender kuwachukua! Samahani dini yangu hairuhusu kupiga picha za wenye damu, ningewawekea!

Muwe makini area hiyo usiku kuanzia saa moja!
 
Kumekuwa na ujambazi was kutumia visu namapanga!!majuzi shemejio alinipigia nikamchukue ifm!!nilipopita oceanaroad nikakuta MTU anaporwa pikipiki walipoona nasimama wakakimbilia upande was bfoward!!nkawatonya jamaa walinzi nikarudinao nikakuta jamaa wamemkata mkono awezikuendesha tukapiga ukunga wakajaa watu tukasubiri defender wakambeba!! Maisha borakwa kilamtz!bado was Amboni awajafika loh wakivuka KWAHERI PWANI KARIBU DSM LOH SHIDAA
 
Ni ShIdAaaaa. BlAza Pdidy iS The BeAst noT Ze Best....
MessAgE NiMeiPatA SAiV nTakUwa NapiTia Njia Za Juuu Tuu. PAaLe OcEan RoaD nShShuHudIa MTu AkIliWa 0713 jiOnI nA vIBaka
 
Ni ShIdAaaaa. BlAza Pdidy iS The BeAst noT Ze Best....
MessAgE NiMeiPatA SAiV nTakUwa NapiTia Njia Za Juuu Tuu. PAaLe OcEan RoaD nShShuHudIa MTu AkIliWa 0713 jiOnI nA vIBaka
Siriyandaninawewee
 
Mbona sijaona fill in the blanks mpwa!!alochosema kwenyehiyosehemu inawezaliwa sijui ninii hii atawewee wanawezakukuotea mppwa!!!kwikwiii after valentine babukubwa
 
Weraaaaweraaaadinaaaa ukijahukuakikishaunatembeaa napediiiweraaaaaa cc smaaaaoooriiiijrrr akufaiiii
 
Back
Top Bottom