The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,666
Last edited by a moderator:
Mbona michepuko mingine hujaimention?
And at cheaper prices!!
safi sana mkuu, hata hao wanaompamba siyo wananunua kweli ni thread updaters' usiwe mgeni JF, Hili ni kundi.mbona mitaa ya ubungo jioni viatu vizuri tu kwa 25000 nyie mnaonunua hivyo vya laki2 ndio matajiri au!?
Mimi hivyo hata nikipewa bure nauza.
Hakuna hata mmoja anayenisumbua. Usipunguze bwana, nitajionaje najua kuchagua usipozengewa na vishori way far younger than me. Ila ndio hivyo wakugharamie.halafu hujaniambia yupi ambae hakusumbui sumbui..yupi ambae nimpunguze ...ha haa
Wakuu nategemea kuleta mzigo wa viatu vya kiume kutoka state, ni dressing shoes ( moka) kwa wanaume. Bei ni dollar $120 flat. Ukichukua pair 3 na kuendelea bei ni $110. All price are in USD.
Kama upo interesting ni inbox kwa kujua size ya mguu kama ninayo. Vilevile ninatoa ushauri kuhusu viatu kwa mtu yoyote bure (free).
Viatu ni vizuri, lini unatarajia kuleta huo mzigo?
Dah !!! Viatu vizuri sna tatizo umechukua U.S.A ukachukua na bie eti usd but fanya kubadili malengo
Don't seems like new or special here in town,if you move around Dar you'll find many in shops,wanatoa China.
Dah !!! Viatu vizuri sna tatizo umechukua U.S.A ukachukua na bie eti usd but fanya kubadili malengo
Mkuu madafu inageuka geuka sana, ningenunua China ambako pesa ya kwa yetu haina variation sana ningeweka kwa pesa ya kikwetu. Lakini muheshimiwa dolla vs shilling kuna changes sana. Vinginevyo itakula kwangu jomba
Hakuna hata mmoja anayenisumbua. Usipunguze bwana, nitajionaje najua kuchagua usipozengewa na vishori way far younger than me. Ila ndio hivyo wakugharamie.
Umeshaona series ya 'big love'? Kulikuwa na this Mennonite chap ambaye alikuwa na wake 3, sasa kuna kipindi akawa anawacheat wake zake wawili na bi mkubwa. Wanaenda hotel and all that; zamu ya ya bi kati huyo anaenda kwa bimkubwa kushtua ndio anaenda kwa mwenye zamu.