Chenua Nkuchebe
Member
- Jul 18, 2017
- 90
- 119
Saizi 50 simple mokka
Mkuu mbona una bei kubwa55,000/=
Mkuu niliwahi kukuuliza bei ukanipotezea au niulize tenaNdiyo boss
Ni WhatsApp kwenye namba iyo hapo juu.
Sina hasira nimemjibu kawaida tu, wanunuzi wananunua Mkuu wengi mno, ukiona kamba yako haifiki weka kambi ilipoishia.
Kama huhitaji pesa ungevaa nyumbani na familia yako Mbona umekuja jukwaani kujitangaza, Jibu watu kwa busara mxiuuuuuu
Elfu ngapi mkubwa.