GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,143
Kama huhitaji pesa ungevaa nyumbani na familia yako Mbona umekuja jukwaani kujitangaza, Jibu watu kwa busara mxiuuuuuuWengine wanavyo Mkuu jaribu kutafuta huko.
Kama huhitaji pesa ungevaa nyumbani na familia yako Mbona umekuja jukwaani kujitangaza, Jibu watu kwa busara mxiuuuuuuWengine wanavyo Mkuu jaribu kutafuta huko.
....majibu ya kipimbi kama haya yamemkimbiza Munawar humu,na alikuwa anuza magari ya mamilioni;Subiri vya bei rahisi Mkuu.
Kipi hicho MkuuNamba 6 vya Rangi ya ""Damu ya Mzee"" unauzaje?
Na Namba 9 vya Mkono wa ""Kulia wetu"" ni Sh ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu..Usiogope Mkuu mazungumzo yanaruhusiwa.
Location please, watu wengi wanahitaji kufika dukani kwako na kuchagua kinachomfaa.Haya Wanaume hatujawaacha nyuma
Pure leather
100,000/= hadi 150,000/=
Ukiitaji kwa picha zaidi
WhatsApp/Call/Text
0629226770
Wamikoani Tunatuma
Dar unaletewa ulipo
Watu sampuli yako wengi sana nimekutana nao huwa hawashitui, wanunuzi kimya kimya husikii wakipiga kelele kama wewe, hiyo nguvu uliyotumia kutukana hapa ielekeze kwenye kutafuta hela Mkuu.Kama huhitaji pesa ungevaa nyumbani na familia yako Mbona umekuja jukwaani kujitangaza, Jibu watu kwa busara mxiuuuuuu
Mzigo upo nyumbani kwa sasa, tuko kwenye maandalizi ya duka pakikamilika ntaweka location humu Mkuu, unachokiona hapo ndiyo utakachopata.Location please, watu wengi wanahitaji kufika dukani kwako na kuchagua kinachomfaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
....teh hee heeSiku zote ukweli mchungu mziki wa Masaki huwezi kacheze kigodoro mbagara, mwisho wa siku kila mtu kafurahia.