atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,774
Acha hasira mkuu jamaa ameuliza lkn hata ktk hivyo viatu vinavyoonekana hapo havina hiyo bei uliyotaja hapoSubiri vya bei rahisi Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hasira mkuu jamaa ameuliza lkn hata ktk hivyo viatu vinavyoonekana hapo havina hiyo bei uliyotaja hapoSubiri vya bei rahisi Mkuu.
Mkuu, ameshasema bei 100k mpaka 150k!Acha hasira mkuu jamaa ameuliza lkn hata ktk hivyo viatu vinavyoonekana hapo havina hiyo bei uliyotaja hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaleta liniSubiri vya bei rahisi Mkuu.
Umeenielewa lkn nilichomuuliza au?






Mkuu nimekuelewa......nin kinakufanya udhani havilingani kwa bei? Uhuru ni wake kuweka bei...wewe kama mteja usinunuwe....Umeenielewa lkn nilichomuuliza au?
Nimeelewa bei ni hio 100k kwa 150k ila ktk hivyo viatu alivyotupia hapo kuna vingine havilingani na hiyo bei labda amuotee msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu cha uturuki nn?Ndiyo Mkuu
Sina hasira nimemjibu kawaida tu, wanunuzi wananunua Mkuu wengi mno, ukiona kamba yako haifiki weka kambi ilipoishia.Acha hasira mkuu jamaa ameuliza lkn hata ktk hivyo viatu vinavyoonekana hapo havina hiyo bei uliyotaja hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu nenda kanunue vinakolingana na bei haujalazimishwa, wanaoona vinalingana wananunua wewe kanunue huko mbona swala dogo tu, ni kupambana na hali yako tu.Umeenielewa lkn nilichomuuliza au?
Nimeelewa bei ni hio 100k kwa 150k ila ktk hivyo viatu alivyotupia hapo kuna vingine havilingani na hiyo bei labda amuotee msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanunuzi hawanaga kelele nyingi usipoteze muda.Mkuu nimekuelewa......nin kinakufanya udhani havilingani kwa bei? Uhuru ni wake kuweka bei...wewe kama mteja usinunuwe....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote wanaojua hizo sales personal process mkuu jamaa kamuuliza mistrices vizuri tu ila jibu alilopewa haliendani na mfanyabiashara anyway ndivyo tulivyo waafrika.Tatizo lako misstrace unapenda ligi ya maneno sana badala kuwapa potential buyers majibu waliyokuuliza.
Nimeshangaa sanaTatizo lako misstrace unapenda ligi ya maneno sana badala kuwapa potential buyers majibu waliyokuuliza.
Namba 6 vya Rangi ya ""Damu ya Mzee"" unauzaje?Haya Wanaume hatujawaacha nyuma
Pure leather
100,000/= hadi 150,000/=
Ukiitaji kwa picha zaidi
WhatsApp/Call/Text
0629226770
Wamikoani Tunatuma
Dar unaletewa ulipo