Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,165
PoaVipo Mkuu karibu.
PoaVipo Mkuu karibu.
Mkuu u just made this day so damn bright.. ajipigie makofi kwa matako .. nimecheka ofisi nzima wamenishangaa....teh hee hee
....watoto wa mbwa huwaga hamjifichi;
..dunia yenu inaishia Masaki!
.uko juu sana,jipigie makofi kwa matako!
Mimi uliniahidi kuni PM viatu vya watoto nilivyochagua lakini mpaka leo naona kimyaKama kawaida 0629226770 WhatsApp/Call/Text
Bado dear wangu ningekushitua.Mimi uliniahidi kuni PM viatu vya watoto nilivyochagua lakini mpaka leo naona kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali Mama nimeweka kumbukumbu kabisa.
Usijali Mama nimeweka kumbukumbu kabisa.
hongera kwa kuliona hili mkuu,wenda likamjenga kibiashara,kuna mama mmoja alikuwa GM hotel moja,akawa anawaambia wafanyakazi wake kuwa usimdharau mteja yoyote kulingana na alichonacho,sisi tunaitaka pesa yake iwe mia au elfu kumi,wote tunawahtaji katika biashara yetuTatizo lako misstrace unapenda ligi ya maneno sana badala kuwapa potential buyers majibu waliyokuuliza.
Ndiyo boss