Viashiria vikuu vya Mwanaume anayekupenda

FB_IMG_16535027808929413.jpg

Nyau kama nyau natoa ushauri tu.
 
Hayanaga muongozo na tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Hapa kuna ukweli ila shida ni pale mapenzi yanapokuwa ya kuogiza vitu kama hivi ni ngumu kuviona na pia,nikisema kuigiza namaanisha unataka kitu kwa mwanamke kwahiyo false pretence ina take place si easy ndio utaona mtu anawahi kujionyesha alivyo mfano six pack,gari,ajira na matumizi ila baada ya ushindi ni mwendo wa 4+
 
Umegeneralize kwenye mambo mengi ambayo mengine wanaume tumetofautiana.

Ila mengi ni kweli tupu, na sidhani kama nchi hii kuna wanawake wanaweza kufanya hayo uliyoandika.

Wengi hujifanya kuyaweza lakini nyege mshindo zikiwazidia wanaliwa kimasikhara kabisa, wengine umaskini unawafanya waliwe mapema tena siku ya kwanza tu ya kufahamiania japo labda mipango yake ilikua ni aolewe na huyo mwanaume.

Na ni kweli kabisa wanaume asilimia kubwa kadri anavyopuuzwa puuzwa na mwanamke ndivyo anavozidi kumpenda zaidi, tatizo sasa ni mwanamke hawezi mpuuza hata kwa kuact mwanaume anaempenda anahisi ataibiwa.

Nadhani nature imebalance vizuri, hivyo imeturahisishia kazi wanaume๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mapenzi sio kungono kijana ufundi wa kutiana na mapenzi ni tofauti

Wewe unaleta utani kwenye ishu muhimu na nyeti.
Ukishasema ndoa jua kina Mihimili mikuu ya ndoa, Ngono ni moja ya mhimili hiyo.
Hata kisheria Mahakamani, ngono ukishindwa inavunja ndoa.
Sijui Kama unajua hilo
 
Umegeneralize kwenye mambo mengi ambayo mengine wanaume tumetofautiana.

Ila mengi ni kweli tupu, na sidhani kama nchi hii kuna wanawake wanaweza kufanya hayo uliyoandika.

Wengi hujifanya kuyaweza lakini nyege mshindo zikiwazidia wanaliwa kimasikhara kabisa, wengine umaskini unawafanya waliwe mapema tena siku ya kwanza tu ya kufahamiania japo labda mipango yake ilikua ni aolewe na huyo mwanaume.

Na ni kweli kabisa wanaume asilimia kubwa kadri anavyopuuzwa puuzwa na mwanamke ndivyo anavozidi kumpenda zaidi, tatizo sasa ni mwanamke hawezi mpuuza hata kwa kuact mwanaume anaempenda anahisi ataibiwa.

Nadhani nature imebalance vizuri, hivyo imeturahisishia kazi wanaume๐Ÿ˜๐Ÿ˜

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Nao wanaogopa kuibiwa hasa wakiwa na wanaume wanaowapenda, alafu ni ngumu kuigiza Kumnyima mwanaume anayempenda wakati kitu chenyewe kipo.

Ni Sawa na Mwanaume awe na pesa alafu ajifanye anamnyima mwanamke anayempenda ni Jambo gumu ambalo wengi tunashindwa
 
Yaaani anizungushe miezi mitatu au masaa matatu.... Make napendwa hatareee!!! Hata humu nimepata sana...ila tatizo lao kupigana hovyo.....ke bhana wana nguvu za kupigana si kitoto hilo tu ndo sitakagi.....
 
Back
Top Bottom