Very sorry Eliza, I lied to you huu ndio ukweli

Niliendelea kuwasiliana na wewe kwa njia ya simu local calls as that time mambo ya social network yalikuwa hayajasikika sana.

We became very good friends japokuwa hatujawahi kuonana hata kidogo, sijui ni kwanini hata wazo lakutumiana picha hatukuwa nalo.
Kila siku ilikuwa nilazima tuzungumze na mara nyingine ilituchukua hadi usiku mrefu sana, uliweza kunipigia simu kwa saa kadhaa tukizungumza mambo ya maisha na kwa kweli wewe ndiye uliyekuwa mzungumzaji mkuu.

Nakumbuka ulianza hadi kuniunganisha na ndugu zako, (one of ur young sister) na ilitokea yeye kufurahia sana mawasiliano yetu.

One day uliniagizia kuja kwenu nakumbuka ulisema ni Boko magengeni ndiyo kituo na ulinipa maelekezo vizuri ila sijawahi kuja kwenu.
Kila nikija Dar nilitamani kufika ila mambo yakawa mengi sikufika. Kutokufika kwangu hakukutisha mawasiliano yetu, na hata neno la Mungu ulinipa sana.

Kosa langu lililonifanya nikuombe msamaha kwa sasa ni hili hapa.
Nakumbuka siku nikiwa Dar na nikakujulisha ulitaka sana sana tuonane, na mimi nilikubaliana na wewe kuwa this time we should see each other, kiukweli utaratibu tuliuweka tukutane Mwenge, ila mimi nilichelewa kufika na wakati niko njiani uliniambia unaenda Muhimbili kulikuwa na mgonjwa kwa hiyo hata nikfika Mwenge itabidi nikusubirie tu...
Sikuona tabu kwa upande wangu kwasababu nilikua nimeongozana na wenzangu wawili sikupata shida kukusubiana, tulisubiri pale huku tukifanya mambo mengine tu..
Ilichukua muda sana kuja nakumbuka uliniandikia meseji ukanielekeza nipande basi zinazoenda Posta nishukie Kituo kinachoitwa Pam beach tutakutana hapo.
Nadhani ulikuwa hujui kama sikua peke yangu.
Tulipanda daladala na tukashukia Pam beach kama ulivyoagiza bahati nzuri bado tulifika kabla yako,
Tulikaa ile sehemu ya abiria wanakokaa kusubiria daladala, uliniambia ulikuwa karibu sana and u will be there after few minutes....
Kweli ukaja nikakuona ulivyokuwa unaanza nipigia simu ili unibaini, kwa ustadi mkubwa kwenye ile simu nikafuta mlio, nilikuona vizuri mno Eliza wewe ni mrefu maji ya kunde na mwili wako umejajaa kidogo...

Nilikupungia ili ujue ndiyo sisi uje.
Ukaja kwa madoido yote kabisa ukaniuliza who is Derick here? Na mimi bila kuchelewa nikanyosha kidole kumwelekea yule jamaa niliyekuwa nae...(nilikuwa na wenzangu wawili mmoja Me na mwingine Ke).
Basi Eliza ulimkumbatia mshikaji kwa hisia kweli kweli, kitu kilichomshangaza kwani hata wao nilikuwa sijawaambia kuwa nakutana na mtu ambaye sijawahi kukutana nae kabisa.

Basi kuanzia hapo picha ikawa inaanza kuharibika kumbuka wewe na mimi tumewasiliana kwa muda mrefu kwa hiyo lazma kila utakachoniuliza nijibu...
 
Niliendelea kuwasiliana na wewe kwa njia ya simu local calls as that time mambo ya social network yalikuwa hayajasikika sana.

We became very good friends japokuwa hatujawahi kuonana hata kidogo, sijui ni kwanini hata wazo lakutumiana picha hatukuwa nalo.
Kila siku ilikuwa nilazima tuzungumze na mara nyingine ilituchukua hadi usiku mrefu sana, uliweza kunipigia simu kwa saa kadhaa tukizungumza mambo ya maisha na kwa kweli wewe ndiye uliyekuwa mzungumzaji mkuu.

Nakumbuka ulianza hadi kuniunganisha na ndugu zako, (one of ur young sister) na ilitokea yeye kufurahia sana mawasiliano yetu.

One day uliniagizia kuja kwenu nakumbuka ulisema ni Boko magengeni ndiyo kituo na ulinipa maelekezo vizuri ila sijawahi kuja kwenu.
Kila nikija Dar nilitamani kufika ila mambo yakawa mengi sikufika. Kutokufika kwangu hakukutisha mawasiliano yetu, na hata neno la Mungu ulinipa sana.

Kosa langu lililonifanya nikuombe msamaha kwa sasa ni hili hapa.
Nakumbuka siku nikiwa Dar na nikakujulisha ulitaka sana sana tuonane, na mimi nilikubaliana na wewe kuwa this time we should see each other, kiukweli utaratibu tuliuweka tukutane Mwenge, ila mimi nilichelewa kufika na wakati niko njiani uliniambia unaenda Muhimbili kulikuwa na mgonjwa kwa hiyo hata nikfika Mwenge itabidi nikusubirie tu...
Sikuona tabu kwa upande wangu kwasababu nilikua nimeongozana na wenzangu wawili sikupata shida kukusubiana, tulisubiri pale huku tukifanya mambo mengine tu..
Ilichukua muda sana kuja nakumbuka uliniandikia meseji ukanielekeza nipande basi zinazoenda Posta nishukie Kituo kinachoitwa Pam beach tutakutana hapo.
Nadhani ulikuwa hujui kama sikua peke yangu.
Tulipanda daladala na tukashukia Pam beach kama ulivyoagiza bahati nzuri bado tulifika kabla yako,
Tulikaa ile sehemu ya abiria wanakokaa kusubiria daladala, uliniambia ulikuwa karibu sana and u will be there after few minutes....
Kweli ukaja nikakuona ulivyokuwa unaanza nipigia simu ili unibaini, kwa ustadi mkubwa kwenye ile simu nikafuta mlio, nilikuona vizuri mno Eliza wewe ni mrefu maji ya kunde na mwili wako umejajaa kidogo...

Nilikupungia ili ujue ndiyo sisi uje.
Ukaja kwa madoido yote kabisa ukaniuliza who is Derick here? Na mimi bila kuchelewa nikanyosha kidole kumwelekea yule jamaa niliyekuwa nae...(nilikuwa na wenzangu wawili mmoja Me na mwingine Ke).
Basi Eliza ulimkumbatia mshikaji kwa hisia kweli kweli, kitu kilichomshangaza kwani hata wao nilikuwa sijawaambia kuwa nakutana na mtu ambaye sijawahi kukutana nae kabisa.

Basi kuanzia hapo picha ikawa inaanza kuharibika kumbuka wewe na mimi tumewasiliana kwa muda mrefu kwa hiyo lazma kila utakachoniuliza nijibu...
Bo bo bo booooongeeeeee la mistakeeeeee!
 
Nimekutafuta kwa muda mrefu, sijafanikiwa kukupata!! Naamini kabisa utakuwa member hapa JF.. and this is the only way for me to confess and let you to know the truth!! I got ur number kupitia kipindi kimoja cha usiku kilichokuwa kinarushwa na Kiss Fm, presenter wa hiki kipindi alikuwa anaitwa Tobby, sijui kama bado kina exist au lah!! it was in 2008..at that time nilikuwa Dodoma wewe Dar Ulinipiga simu kwenye kile kipindi na ukasema unatafuta rafiki baada yakutokea kutokuelewana kati yako na boyfriend wako.

Namba yako iliniingia kichwani mwangu as u mentioned it. At the same night nikajaribu kukucall but simu yako ilikuwa busy sana, Haikunipa shida kwani niliamini patakucha, na ikawa hivyo, asubuhi yake nikajaribu tena.. Ikaita bila kupokelewa, nikaamua kupotezea Kwenye mida ya saa nne u called me, wow! Ile hallo yako tu ilinitetemesha, nikajua hujui kiswahili kabisa!! Niliogopa kidogo coz kwenye huo uwanja siko vizuri sana. Swali lako la kwanza nilikuwa, who is this? ...Ur talking to Derick!! uongo wa kwanza huu, hili halikuwa jina langu and i don't know kwa nini nilitamka jina hili.

I found ur missed call, what is up? why did u called me? Nikakujibu i just got ur number from Radio yesterday as u need friend for chatting and exchanging ideas, Ukasema, ahaa ur welcome, u asked me where are you? Nikakuambia Dodoma, hapa ni kweli!! Tukaongea mawili matatu pale basi ukata simu, baada ya kama saa moja hivi nikakutext . Do you know Swahili? ilichukua another three hours for you to reply, Yes I know Swahili much, mi ni mtanzania bwana! Good, nikakuambia unaongea kama mtu asiyejua kiswahili kabisa!! But i like the way u talk, ukaniambia hata mimi naongea vizuri. Ahaa, mwanaume naongeaje vizuri wewe? unanitusi kijanja eeh.

Mawasiliano yangu na Wewe yaliendelea poa sana, tulianza kupigia simu mara kwa mara,
Tulizoeana vizuri kweli!!
Nakumbuka ulianza kunipa injili eneo ambalo naona uko vizuri!!
Eliza uliniandikia bible verses nyingi sana, ulikipenda kitabu cha Isaya!
Mara nyingi tukiongea kabla hatujaagana ulisali, i remember many of ur prayers!!
Nilikuwambia niko dodoma chuo kikuu, huu ulikuwa uongo pia! Dodoma nilikuwa sina deal ya maana zaidi ya udeiwaka wa hapa na pale!! nilijitahidi sana kujiweka kichuo, sometimes nikuambie kuwa niko class kumbe napeleka matenga ya nyanya kongwa.

Tulizoena sana Eliza kumbuka kuna kipindi ulishindwa kulala tusipozungumza, ulini encourage kwa mambo mengi sana. Uliongea na mimi kwa upole, sana sana ukinihusia kulishika neno la Mungu.
Tukawa marafiki wa kweli bila hata kuonana.
Tulianza kupata hamu ya kuonana, kumbuka ishu ilikuwa chuo na wewe shughuli zako hapo Dar ambazo zikuwahi kuzijua pia.
Elie uliniambia unafahamu lugha saba za kimataifa..
Uliniambia umeshakwenda nchi nyingi Duniani, I trusted u! uwezo wako wakuelezea mambo ulikuwa mkubwa sana, unamzidi lara 1 kidogo (sijui yeye anazungumza lugha ngapi)!
hahaha what's ur poit bro
 
Back
Top Bottom