Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,358
- 10,150
Wee wa wapi mpaka unashindwa kujua swali la PM unaliweka hapa ?Wewe ni werason wa Mwecau ninaekufahamu Mimi au?
Haya msalimie Dr.Eugine Lyamtane
Wee wa wapi mpaka unashindwa kujua swali la PM unaliweka hapa ?Wewe ni werason wa Mwecau ninaekufahamu Mimi au?
To apologize...hahaha what's ur poit bro
Nimemaliza nisaidie kumsaka Eliza.Endelea kutusimulia
Done!!Si uandike yote pembeni ndo upaste huku...
Povu la nin site ni wamoja mkuuWee wa wapi mpaka unashindwa kujua swali la PM unaliweka hapa ?
Haya msalimie Dr.Eugine Lyamtane
Ni kweli mimi ni bonge la fala...Duh hivi tuzo za 'fala bora wa mwaka' zinatolewa na shirika gani!??
I would nominate and vote for you over and over...
HapanaWewe ni werason wa Mwecau ninaekufahamu Mimi au?
Kwanini ulifanya hivyo maana ninashangaa na naikosa sababu ya wewe kumdanganya hivyo,unajua uongo katika mapenz huwa unauma sanasana ingawa imekuwa muda mrefu mm kama mwanamke nimesikitishwa sana na tabia yako hiyoDone!!
we bibieMkuu Eliza kajitokeza?
Kastory katamu kweli.