Very sorry Eliza, I lied to you huu ndio ukweli

Sasa ndo udambu gani huu umetuwekea?????? Ungepeleka huko kiss fm labda ungeeleweka.

Mambo yangu na Eliza yalikuwa poa sana online.
Kipindi hicho smart phones sidhani kama zilikuwepo so mambo yetu yote yaliishia kwenye voda kwa voda, mawasiliano yetu utadhani ni watu tuliojuana muda mrefu. Kuna kosa nilifanya, that's why naandika hapa kumwomba msamaha
 
Mambo yangu na Eliza yalikuwa poa sana online.
Kipindi hicho smart phones sidhani kama zilikuwepo so mambo yetu yote yaliishia kwenye voda kwa voda, mawasiliano yetu utadhani ni watu tuliojuana muda mrefu. Kuna kosa nilifanya, that's why naandika hapa kumwomba msamaha

Sasa si mrudi mlikokutania ama mksombane msamaha huko au mfowadie huko kwenye kilongalonga.
 
Haaaaaaah haaaaah..! Lets roll to de Ratio decdend mr..! Ulimgegeda au hii story ina series..? Aiseee kama haukumgegeda mmmhhhh.... I just cant explain how horrible it is but...anyway endelea kuchat nae tuu
 
hongera kwa kumaliza mitihani.... sasa wenzako wameanza ku apply mikopo.
 
Back
Top Bottom