Verossa

Verossa

Hahahaaaaaa!!! Manyau nyau kadunda eti!!
Pole sana mwalimu wangu, mie nilitaka kukufumbua macho ukanigomea eti hata niseme nini hutonielewa, haya chacha!!
Kama nawaona mnavyofurahi mda huu.Hayo ni mapito tu yataisha.Mwambieni basi bae wangu bado nampenda.....
Si ulijifanya husikii wala huoni. Leo "umepatwa" eeh, yamekufika hapa. Ngoja akakupulizie tena kwa babu, utarudi tu
 
Back
Top Bottom