Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Nafata nini jamani si naenda kupiga story na mpendwa wanguSi useme tu unachofuata!! Yale yalikuwa maneno tu ya mkosaji.
Nafata nini jamani si naenda kupiga story na mpendwa wanguSi useme tu unachofuata!! Yale yalikuwa maneno tu ya mkosaji.
Teh teh teh teeeeeh!! Subiri majibu ya mkemia mkuu, uliulizwa kitu kilikuwa mtungo niniSio yake tena?Nani tena unataka kumuingiza kwenye huu msala jamani?
Nafata nini jamani si naenda kupiga story na mpendwa wangu
Baba wa mtoto mama ndiye nayemjua.Huyo mkemia mwenyewe alitaka kunipa kizee ndio kiwe kibaba cha twins wanguTeh teh teh teeeeeh!! Subiri majibu ya mkemia mkuu, uliulizwa kitu kilikuwa mtungo nini![]()
![]()
![]()
Teh teh teeeeeh!!
Nimekununia bwana![]()
![]()
![]()
![]()
Mie sisemei signature nimemwambia akwambie kitu fulani
Hata sijui nimeanzaje, ila ndio nishakununia.wee...ntamwita anko magu aseme ukweli hapa....unaanzaje kwa mfanokuninuia
Hata sijui nimeanzaje, ila ndio nishakununia.
AbeeeeeNaomba kujua kama Heaven Sent yupo na katika huu uzi?
Mh, hapo umeongea nini?bora umejongea nkamu gwangu Gwamahala isa kuno, huyu my husband alinailyojo lya nkisi
Kukusingizia nini?hivi Honey Faith kwa nn uliamua kunisingizia? we ngoja tu
Unamtakia nini binti yangu?Naomba kujua kama Heaven Sent yupo na katika huu uzi?
Kumbe binadamu ni watamu!!sawa, ila ndo unakuwaga mtamu zaid ukinuna.....glory glory
Hivi unajua niliachikaga sababu yako lakini hata kusema uwe unanitumia vimpesa holaaaa.
Ama kweli nimeamini mtu anakupenda kama hapati majukumu![]()
Unamtakia nini binti yangu?
Wewe hapo ndio chanzo kikubwa
Abeeeee
Umesingiziwa nini sasa hapo? Mlivyotokomea na Honey Faith akarudi na ujauzito, sasa hata haijuilikani ujauzito ni wa nani maana kila mtu anadai ni wa kwake.hapa....hapa...@honey faith......why always me? atoto hebu niletee maji ya baridi kwanza