Muulize
Madame B akuambie ni nani!!!
Tangazo si ndo pamoja na vigezo nilivyoweka hapa jana...sasa wewe mwenzangu ukabaki unasifia watoto wa wenzio hata hujisemi nikaona isiwe tabu... nampenda
Evelyn Salt tafadhali usiwe sababu ya sisi kukwazana/kuwaruzana/kugombana (hatutoachana
🙂)
Penzi letu ni gumu kama kamba za vikwazo,
kila siku linang'aa kama siku ya usafi,
ukituona pita mbali kama mwalimu wa nidhamu,
yeye ni sir-meja na mimi ndo parade commander pamoja tunalisukuma gurudumu...[HASHTAG]#amOut[/HASHTAG]