Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,355
- 176,159
'again'basi leo ulazwe jikoni kabisa na masufuria yakuangukie.please dont make me end up on the couch again baee
'again'basi leo ulazwe jikoni kabisa na masufuria yakuangukie.please dont make me end up on the couch again baee
Nimeishakwambia achana na mie endelea na atoto si ndio unamuadimaya bwanaBae usifanye hivyo please....kapumzike dawa zisije kukuendesha kesho.

Me sihitaji maombi, si unanijua nina nyota ya "maji", mtanitumia tuMaombi naanza na wewe. Sijalia nimesikitika.

HahahahahaUkoko wa makande mtamuuuu.
Dota yeye ni mchochezi tu, ana machungu yake akikumbuka yaliyotokea kwa baba yake.Mimi na wewe tumefahamiana wapi mpendwa? mbona kuniingiza kwenye kesi yenu..hebu nielezeeni kinagaubaga. Yani nimepumzika dakika tano tu mmeshaharibu huku!
Naona kuna sterling mmoja: RRONDO
Kuna rafiki: atoto
Kuna bae: Honey Faith
Kuna Heaven Sent sijajua hasa anacheza role gani kwenye hii movie.
Tutakutumia kunawia miguu...🙁🙁🙁Me sihitaji maombi, si unanijua nina nyota ya "maji", mtanitumia tu![]()
![]()
Kiroho safi nimekuachiaHapana huyu simtaki tenaaaaa.
Cc Mentor endelea na kazi
Nimeoshewa ukoko eti, nyie hayeni tu Mungu anawaona.Watyuuuuu na nyota zao. Shoga angu umeoshewa mfedha fedha au mpenda penda? Maana alichooshewa bi mkubwa ni siri yangu teh
Ndo ushanitumia hivyo, kama unaweza kanawie soda uoneTutakutumia kunawia miguu...🙁🙁🙁
Nitakutumia kuchambia.Me sihitaji maombi, si unanijua nina nyota ya "maji", mtanitumia tu![]()
![]()
Hapana ondoka nae nami simtaki.Kiroho safi nimekuachia
Haha usinisingizie bana, ni nyota yako tu ya punda kubebeshwa mafurushi mengi.Dota yeye ni mchochezi tu, ana machungu yake akikumbuka yaliyotokea kwa baba yake.
Ila huyo RRONDO ndio sitaki hata kumsikia
AkaaaaaHapana ondoka nae nami simtaki.
Hivi uchochezi utaacha lini? Au hadi nikulaani?Haha usinisingizie bana, ni nyota yako tu ya punda kubebeshwa mafurushi mengi.
You too.Sleep tight huko ulipoGood night!

Ila still una matumizi bana tehNimeoshewa ukoko eti, nyie hayeni tu Mungu anawaona.
Sasa unamuachia nani? Labda Heaven Sent japo yeye alikuwa anammendea Mentor alafu Evelyn Salt akamuwahiAkaaaaa
Janamke la shoka hilo, uki-beep linapiga dadeekiKiroho safi nimekuachia