Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,689
- 182,703
Yaani usinilavu konekti tena!! Umenisababishia mvurugano leo.
Yaani usinilavu konekti tena!! Umenisababishia mvurugano leo.
Na kipigo juu[emoji134] [emoji134]I'm very sweet, very nice. ... ubabe kwa hawa wa nje tu, kwa bae ni-mshweeeet
Akuuu na urafiki umekufa.Nisamehe rafiki 🙂🙂🙂
Nani apigwe? Benny anaenjoy jamani, hadi me mwenyewe namtamania. Mnyaki mie khaaa utadhani nimezaliwa Tanga [emoji134] [emoji134]Na kipigo juu[emoji134] [emoji134]
Haha kupatwa kwa "heels"Hebu Heaven Sent uje unisaidie jambo hapa:
Hawa wawili ni North and South sasa sijajua wana kipi common kati yako
kuna huyu:
![]()
Halafu na huyu:
![]()
Hahahahahahahahahahahaha salute to you bro RRONDO!!!! Hebu tulale kesho kuna mechi kubwa sana aisee!!!
Sasa nisikwambie ukweli jamani. Au unadhani nyumba yangu ina mvurugano kama yako. Momma don't forget, my name is heaven sent. Mkweo stress anazisikia kwako tu, unavyoachika daily[emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi ujue unaongea na mama yako!!
Alafu unaendeleza uongo.Sasa nisikwambie ukweli jamani. Au unadhani nyumba yangu ina mvurugano kama yako. Momma don't forget, my name is heaven sent. Mkweo stress anazisikia kwako tu, unavyoachika daily[emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Cha makete itakuwa[emoji38] [emoji38] [emoji38]. Chige ni nyuki ama, kisa cha kumpa maua mwenzio?Hahaaaaab! Kwakweli kupatwa kwa heels, hivi dota umepiga cha wapi leo?
Imebidi na maua yangu niyakumbatie hadi aje chige nimpe.
Tangu lini nikadanganyaAlafu unaendeleza uongo.
Yeye ndio anajua thamani ya hayo maua.Cha makete itakuwa[emoji38] [emoji38] [emoji38]. Chige ni nyuki ama, kisa cha kumpa maua mwenzio?
Siku nyingi tu.Tangu lini nikadanganya