Asante nimekupataNdyo nayo ni mifumo ya kiautomatic, lakin mara nying hua inaulizwa kama umeserch vitu ving kuliko kawaida au umelog in kwenye account several times au unataka kufungua account asa inaulzwa ili kuzuia account fake au udukuzi ndani ya mtandao. Ndo mana hua inauliza hivo . Au ikizidiwa sana hua inasema "I'm not a robot"
ππ, Dah hii vita ya kiteknojia ni ngumu sana, ukizidiwa umeliwaNdio, Kwa mfano kujibu kama hizo cross walks lenyewe linaona zote Kwa pamoja na kujibu ndani ya sekunde moja. Hiyo inakuwa alarm kwamba huyu sio binadamu. Na hiyo movement ya kamshale ka kompyuta binadamu Hana uwezo WA kuanyosha lazima apinde kidogo na spidi itapungua anapoclick mahali au atapitiliza kidogo na kurudi. Lakini robot linaenda Kwa spidi Kali na straight. Ingawa nasikia siku hizi na yenyewe yanafundishwa tabia za binadamu Kwa kujifanya kusita na kupinda Pinda lakini litadakwa hapo kwenye kujaza vitu ambayo binadamu haoni lenyewe linaona, litaingia kichwa kichwa linajaza na ndio linadakwa hapo hapo.
sana sana chrome inazingua sansana
Sasa kama wanaweka ngumu hivyo inakuaje? πHii cha mtoto, kuna moja niliwahi kukutana nayo kwenye website ya mchina ni hatari π π sijui waliwaza nini devs wa ile site yaani sio bots tu binadamu kupita ile verification ni mtiti..
Chief-Mkwawa njoo umvushe mtu maroboti yamegomaπJamaniii msaada, mtusaidie namna ya kuvuka mitihani ya hawa Robots,
Mie hadi nachoka sasa, khaaah π’π’π’ππ
Unatumia VPN ama kawaida Tu? Most of time ukiwa na ip mbovu mbovu kila sehemu unasimamishwa unaekewa hivyoJamaniii msaada, mtusaidie namna ya kuvuka mitihani ya hawa Robots,
Mie hadi nachoka sasa, khaaah π’π’π’ππ
VPN ipo, ila natumia kawaida, na Ip Mbovu ndo ipii??Unatumia VPN ama kawaida Tu? Most of time ukiwa na ip mbovu mbovu kila sehemu unasimamishwa unaekewa hivyo
Jaribu kutumia 1.1.1.1 playstore uone kama tatizo bado lipo.VPN ipo, ila natumia kawaida, na Ip Mbovu ndo ipii??
Nahitaji msaada wako tafadhari. π
Oooh sawa!! Ila mie sijawahi tumia VPN ktk hizi app za mitihani wa robot.Jaribu kutumia 1.1.1.1 playstore uone kama tatizo bado lipo.
IP mbovu ni kama unatumia VPN ya vichochoroni IP zake zinakua sio nzuri kila MTU anazi abuse hivyo mwenzako akifanya kosa unahesabika ni kama wewe, ndio maana kila sehemu unaambiwa uverify kama sio robot.
Hii kitu inashangaza, inachekesha na inaudhi pia! Yani imefika mahali vinyago tulivyovichonga wenyewe vinatu commandπ
Eti robot linakuambia usithitishe kama wewe sio robot
Sawa ngoja nitumie akili kulikubalia robot linavyoraka asante kwa ushauriTumia akili ..hiyo ni mbinu ya kuzuia hujuma za roboti VIRUS... yaani inatengenezwa software ya kuhujumu mtandao husika kwa kuufanya uwe bize na kuuover faction.... hizi mbinu zilishwa tumiwa hata hapa JF NA ROSTAM AZIZI KUHUJUMU JF NA ZINATUMIWA NA CCM KUHUJUMU MITANDAO MBALIMBALI