cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Yaan wee acha tyuuh, hadi nakata tamaa.🤣🤣🤣 maroboti yana ufala sana, yaani yameamua kukukazia
😂😂😂😂😂
Yaan wee acha tyuuh, hadi nakata tamaa.🤣🤣🤣 maroboti yana ufala sana, yaani yameamua kukukazia
Asante Mkuu hapo sasa kwa maelezo haya nimeelewa, kumbe robot lina uwezo wa kujibu kifasaha tena kwa haraka ila kwa sababu linajibu kimashine ndio maana linagundulika, hatari sanaZikijaribu kujibu maswali zinagundukika na website husika Kwa sababu zitajibu haraka Sana na Kwa spidi inayofanana tofauti na binadamu anajibu Kwa kusita na spidi tofauti kutoka image moja Hadi nyingine. Pia ? Pia movement ya cursor anapotumia binadamu inakuwa haijanyoka lakini robot linanyosha kama rula, hapo ndio litagundulika kwamba huyu sio robot.
Pia nasikia muda mwingine robot linajichanganya linajibu maswali ya Siri ambayo binadamu huwezi kuona hapo hapo ndio linadakwa kwamba huyu mtembeleaji WA website sio binadamu.
Nimejaribu ku-sreenshot majibu yangu nione kama nimepatia, AI imeongeza nyama nzito Kwa kusema hivi:
3. "Maswali ya Siri" (Honeypots)
Mdau amegusia kuhusu robot kujibu maswali ambayo binadamu haoni. Hapa anazungumzia kitu kinaitwa Honeypots.
Wataalamu wa website huweka "input fields" (sehemu za kujaza taarifa) ambazo zimefichwa kwa kutumia CSS (zisionekane na macho ya binadamu).
Binadamu hataona chochote, kwa hiyo hatajaza.
Robot linasoma code ya website, hivyo litaona kuna sehemu ya kujaza na litaweka data. Kitendo tu cha kile kijisanduku kilichofichwa kujaa, mfumo unajua hapa "mgeni" si binadamu
Ndio, Kwa mfano kujibu kama hizo cross walks lenyewe linaona zote Kwa pamoja na kujibu ndani ya sekunde moja. Hiyo inakuwa alarm kwamba huyu sio binadamu. Na hiyo movement ya kamshale ka kompyuta binadamu Hana uwezo WA kuanyosha lazima apinde kidogo na spidi itapungua anapoclick mahali au atapitiliza kidogo na kurudi. Lakini robot linaenda Kwa spidi Kali na straight. Ingawa nasikia siku hizi na yenyewe yanafundishwa tabia za binadamu Kwa kujifanya kusita na kupinda Pinda lakini litadakwa hapo kwenye kujaza vitu ambayo binadamu haoni lenyewe linaona, litaingia kichwa kichwa linajaza na ndio linadakwa hapo hapo.Asante Mkuu hapo sasa kwa maelezo haya nimeelewa, kumbe robot lina uwezo wa kujibu kifasaha tena kwa haraka ila kwa sababu linajibu kimashine ndio maana linagundulika, hatari sana
Ndyo nayo ni mifumo ya kiautomatic, lakin mara nying hua inaulizwa kama umeserch vitu ving kuliko kawaida au umelog in kwenye account several times au unataka kufungua account asa inaulzwa ili kuzuia account fake au udukuzi ndani ya mtandao. Ndo mana hua inauliza hivo . Au ikizidiwa sana hua inasema "I'm not a robot"Sawa,Hivi hata hilo swali lenyewe "verify you are not robot" pia si linaulizwa na haohao bots ila tu linakua la ule upande mwingine au?
Vipi kwa site zinazotumia cloud flare ina msaada kuzuia robot?Zikijaribu kujibu maswali zinagundukika na website husika Kwa sababu zitajibu haraka Sana na Kwa spidi inayofanana tofauti na binadamu anajibu Kwa kusita na spidi tofauti kutoka image moja Hadi nyingine. Pia ? Pia movement ya cursor anapotumia binadamu inakuwa haijanyoka lakini robot linanyosha kama rula, hapo ndio litagundulika kwamba huyu sio robot.
Pia nasikia muda mwingine robot linajichanganya linajibu maswali ya Siri ambayo binadamu huwezi kuona hapo hapo ndio linadakwa kwamba huyu mtembeleaji WA website sio binadamu.
Nimejaribu ku-sreenshot majibu yangu nione kama nimepatia, AI imeongeza nyama nzito Kwa kusema hivi:
3. "Maswali ya Siri" (Honeypots)
Mdau amegusia kuhusu robot kujibu maswali ambayo binadamu haoni. Hapa anazungumzia kitu kinaitwa Honeypots.
Wataalamu wa website huweka "input fields" (sehemu za kujaza taarifa) ambazo zimefichwa kwa kutumia CSS (zisionekane na macho ya binadamu).
Binadamu hataona chochote, kwa hiyo hatajaza.
Robot linasoma code ya website, hivyo litaona kuna sehemu ya kujaza na litaweka data. Kitendo tu cha kile kijisanduku kilichofichwa kujaa, mfumo unajua hapa "mgeni" si binadamu
Bot haziwezi kusolve capture kwa sababu ni automated bot script kwahiyo hazina uwezo wa kujidirect kufanya additional bot commandsAsante kwa maelezo, Je ina maana hizo Boys haziwezi kujibu hizo Captcha, au haziwezi kujibu hilo swali?
Ni sawa na unaenda kuomba kazi wanakwambie cheti cha kuzaliwa kiwe katika viambatanisho. Hawaamini kama kweli ulizaliwaWakuu,
Nini malengo ya website mbalimbali kuuliza swali hilo? na wakati mwingine kukupa task mbalimbali kama kuchagua magari, traffic lights nk.
✅Ina maana wanaogopa marobot yataharibu au vipi?
✅Je robot lenyewe kama ni kweli inataka kuingia humo haliwezi kujibu hilo swali kwamba I'm not robot?
Naomba kueleweshwa kitaalamu.
Ahsante
View attachment 3548787View attachment 3548788
2fa = 2 factor aunthentification.Kwahio robot au software haziwezi kujibu hilo swali?
"2fa" ni nini sijaelewa?
Zinaweza zikiwa programmed kujibu sema na hizo captcha zinabadilika kila siku, so inakua ngumu kuwa 100% Sawa.Asante kwa maelezo, Je ina maana hizo Boys haziwezi kujibu hizo Captcha, au haziwezi kujibu hilo swali?
Ok kumbe hivyo ndivyo ilivyoKuna clip mtaalamu mmoja alikua anaeleza kwamba, siku hizi ukivlick tu kibox inachapa tiki, haina haja ya kwenda kama zile crosswalk au magari,
System inatambua robot na binadamu kwa aina ya touch, robot linatouch kama mashine halikosei angle hivyo linagundulika kwa usahihi wake