Voice of Mara
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 358
- 127
Kuna kikundi cha marafiki wa Lowassa (Friends of Lowassa)Musoma mjini siku ya kesho kikongozwa na Veda Mathayo pamoja na Marwa Mathayo. wanaingia barabarani kupinga mauaji ya mahlbino.
Swali je ingekuwa ni Chadema ndo wanaingia barabarani ? IGP si angezuia na hata store ya mabomu kufunguliwa kesho?
Swali je ingekuwa ni Chadema ndo wanaingia barabarani ? IGP si angezuia na hata store ya mabomu kufunguliwa kesho?