Vazi la manesi

Vazi la manesi

Joined
Jun 24, 2017
Posts
31
Reaction score
9
Habari ndugu wa JF, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi.

Hivi ni kwanini mara nyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, huko nyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike.

Hivi wanavaa vazi fupi kwanini?

Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom