Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 14,937
- 20,990
Uzi mpana kama huu bila picha ni sawa na kula nya bila kuweka chumvi. Weka hata picha ya mfano ili mjadala unoge.
Habari ndugu wa JF, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi.
Hivi ni kwanini mara nyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, huko nyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike.
Hivi wanavaa vazi fupi kwanini?
Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
Habari ndugu wa JF, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi.
Hivi ni kwanini mara nyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, huko nyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike.
Hivi wanavaa vazi fupi kwanini?
Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
Huyu Akiinama Anamwaga Radhi Yote. Wagonjwa Wa Mihemko Watapenda Kulazwa kwenye hospitali ya manesi wa aina hiiBabe....
Unamaanisha kama hivi...!!??
Maana kama huyu akiinama, nunu yote inageuka kuwa tangazo...tehteehh View attachment 1084223
Wanaepuka contamination kwa lugha ya kitaalamuWanadai haitakiwi akiinama nguo iguse chini, yaani asiwe na kazi ya kushikilia nguo usichafuke anapokuwa kwenye majukumu yake ndio maana wasioweza nguo fupi wanashona suruale
Wanaepuka contamination kwa lugha ya kitaalamu
Wangevaa suruali.wanasema ili iwe rahisi kukimbia inapotokea dharura yani wawe flexible![]()