Vazi la manesi

Vazi la manesi

Habari ndugu wa jf, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi. Ivi nikwanini maranyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, hukonyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike. Ivi wanavaa vazifupi kwanini? Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
Ukiona upo hospital na unawaza vazi la nesi ujue umepona. Unatakiwa urudi nyumbani haraka sana
 
nahisi hii nongwa tumeiiga ughaibuni ambako wao mtu kuonekana hata karibu robo tatu ya miili yao ni kawaida..
 
Habari ndugu wa jf, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi. Ivi nikwanini maranyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, hukonyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike. Ivi wanavaa vazifupi kwanini? Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
Manesi wa wapi zenji sijawaona hao!
 
Habari ndugu wa jf, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi. Ivi nikwanini maranyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, hukonyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike. Ivi wanavaa vazifupi kwanini? Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
Picha jomba
 
Wanadai haitakiwi akiinama nguo iguse chini, yaani asiwe na kazi ya kushikilia nguo usichafuke anapokuwa kwenye majukumu yake ndio maana wasioweza nguo fupi wanashona suruale
Babe....
Unamaanisha kama hivi...!!??
Maana kama huyu akiinama, nunu yote inageuka kuwa tangazo...tehteehh
images.jpeg
 
Habari ndugu wa jf, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi. Ivi nikwanini maranyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, hukonyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike. Ivi wanavaa vazifupi kwanini? Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.
Mimi nikiona mapaja na magoti manesi napona jamani manesi mnavyotufanyia Mungu anawaona
 
Habari ndugu wa jf, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi. Ivi nikwanini maranyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, hukonyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike. Ivi wanavaa vazifupi kwanini? Mwenye majibu sahihi naomba anijibu.
Asanteni.


Ili mgonjwa apate matumaini ya kupona.😎😎😎😎
 
Ili msichoke kurudi tena,ndio maana mahospitalini watu hawaishigi wengi wanaenda na mambo yao mfano kama hayo uliyosema
 
Ni tiba ya kisaikolojia ukiona upaja hata kama una vidudu vya malaria ukipima huvikuti tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom