Loh!Sijakusoma muda sasa bibie wa mwambao.Lakini huwa unanikosha sana tu.CheicheiHuyo alialikwa futari, kina "Shehe Ubwabwa" ndio hao. Siku atakapoiona nuru ya Allah hatakuwa na haja ya kanzu! ananchekesha!<dir>"Do not consider his appearance or his height, for I have rejected him. The LORD does not look at the things man looks at. Man looks at the outward appearance, but the LORD looks at the heart." (1 Sam 16:7)</dir>
Naam
sasa nchapata sababu ya kuanza kuwapenda CHADEMA. Naomb CCM msinisute kila mmoja anapenda chama na sababu zake
haya ndio mambo tunayotaka sie....kilichobaki ni freeman kuftarisha tuu bas!
![]()
![]()
Huyo alialikwa futari, kina "Shehe Ubwabwa" ndio hao. Siku atakapoiona nuru ya Allah hatakuwa na haja ya kanzu! ananchekesha!
<dir>"Do not consider his appearance or his height, for I have rejected him. The LORD does not look at the things man looks at. Man looks at the outward appearance, but the LORD looks at the heart." (1 Sam 16:7)
</dir>
kumbe sometimes una point!! ukiondoa chembechembe za udini utakuja kuwa mama mzuri sana!! hongeraHuyo alialikwa futari, kina "Shehe Ubwabwa" ndio hao. Siku atakapoiona nuru ya Allah hatakuwa na haja ya kanzu! ananchekesha!
<dir>"Do not consider his appearance or his height, for I have rejected him. The LORD does not look at the things man looks at. Man looks at the outward appearance, but the LORD looks at the heart." (1 Sam 16:7)
</dir>
huyo mama ama wajukuu,kumbe sometimes una point!! ukiondoa chembechembe za udini utakuja kuwa mama mzuri sana!! hongera
Da! Wangevaa na 'kobazi' wangenoga zaidi.
Wamependeza.
asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri...Kuna mwana zuoni mmoja anasema kanzu sio vazi la imani yeyote bali ni vazi la kipindi cha joto uko warabuni sio na akuna sehemu kwenye koran inaonyesha
wamependeza,najua kuna inaowachoma cna kuwasifia makamanda,olala weken nying jaman manake mi natembeaga kupooza akili,najua ntakuta mapicha matamu matamu ka haya etc
huyo mama ama wajukuu,
makunyanzi mpaka kwenye nanihii!
hivi we kuna siku hujagomba?Bibi yako hana wajukuu? unanchekesha!
<br />Kobazi sio vazi la ofisini ni kiatu cha ngozi kama alivyovaa Mbowe na Zitto huoni waarabu na wazanzibari mkuu!!!