Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Alivaa Dr Dau wa NSSF wakati wa saba saba, watu humu waliosha vinywa kwa sana tu
hahaha!! duh! sikuiona hiyo thread!
Alivaa Dr Dau wa NSSF wakati wa saba saba, watu humu waliosha vinywa kwa sana tu
Leo nafuturisha kwa kitimoto na bia karibu mkuu....Ngoja nikafuturu :bange:
Pumba kuu......Pumba
Wananiangusha banaNaam
sasa nchapata sababu ya kuanza kuwapenda CHADEMA. Naomb CCM msinisute kila mmoja anapenda chama na sababu zake
haya ndio mambo tunayotaka sie....kilichobaki ni freeman kuftarisha tuu bas!
Hii ni habari ya facebook na siyo jukwaa makini kama hili.
sijui huyu chalii anataka tujadili nini?
mhhhhhhhhhhh
tutajadili nini sasa hapo jamani??
Huu ujinga upeleke MICHUZI ukajadiliwe.Unaweza kupata washabiki.
Wakuu hii si ni sehemu ya picha ? iko pahala pake na wanaotaka kujadili hapa sio pa kujadili ni kwa kutoa maneno mawili matatu kuhusu picha.Upuuz huo tutolee humu jamvini.