clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,386
- 2,513
Uzi umekaa kishamba sana huu umekaa ki Facebook zaidi.
damn!!
damn!!
Sasa mimi na wewe anayependa kuambiwa ni nani...?Soma bas km utak kuambiwa
Jema Mi nia ni kumpinga AROON
Full Stop and Long Break....Huyo Aroon na jamaa zake wana matatizo. Wanaona kijicho kwa namna gani Kanisa Katoliki lilivyo kama Maji au Hewa ya Oxygen. Kwa Maji, kwamba usipoyaoga utayapikia au kuyafulia na au kumwagilia na hewa kwamba pasipo kwa yenyewe hakuna maisha.
Kanisa Katoliki lazima liitawale dunia kwa sababu ndio wajibu lililopewa na Kristu: Lolote mtakalolifungua Dunia na Mbinguni itakuwa hivyo na kinyume chake ni kweli.
Tatizo lako umepanic,Kama unategemea kuanzisha uzi hapa ukutane na unaofanana nao akili basi umefeli.Una matatizo
I think you have dirty brain.
Si kila post lazima ukoment Acha ushamba
Hata haya maandiko wasabato wanayojinasibisha kuyajua na kuyafuata ni ya wakatolikiHuyo Aroon na jamaa zake wana matatizo. Wanaona kijicho kwa namna gani Kanisa Katoliki lilivyo kama Maji au Hewa ya Oxygen. Kwa Maji, kwamba usipoyaoga utayapikia au kuyafulia na au kumwagilia na hewa kwamba pasipo kwa yenyewe hakuna maisha.
Kanisa Katoliki lazima liitawale dunia kwa sababu ndio wajibu lililopewa na Kristu: Lolote mtakalolifungua Dunia na Mbinguni itakuwa hivyo na kinyume chake ni kweli.
Akisherekea ww inakuuma nn mbona masheik wanasherekea hadi pasakaHata Christmas ambayo Wasabato hawasherekei ila huko Marekani Rais Wa Wasabato anasherekea na Wasabato....
Usipo shuhudia papa anatawala direct watoto wako au wajukuu wataona
Hawa JESUITHata Christmas ambayo Wasabato hawasherekei ila huko Marekani Rais Wa Wasabato anasherekea na Wasabato....
Wachache sana watakuelewa, lakini huo ndo ukweliCatholic will stay Everlasting.
Nimegundua wakatholik walianzisha Islam
Jesuits pasua kichwa marekani protestant walikuwa wengi zaidi kabla Katoliki hawaja wapiku nakuwa 28%Hata Christmas ambayo Wasabato hawasherekei ila huko Marekani Rais Wa Wasabato anasherekea na Wasabato....
Papa ka proof Adam na Eva ni fiction.Sasa hivi naona mitandao inasaidia kuwekeza hizi conspiracy theories. Miaka yote tulikuwa tunaujua kwamba binadamu tunatokana na Adam na Eva au evolution. Sasa hivi kuna theory nyingine kwamba binadamu alikuwa created na Annunaki huyu ni kizazi cha watu wakubwa (Giants) ambao walikuwepo duniani kabla ya gharika kuu. Wanasema Annunaki anatoka sayari inaitwa Nibiru na huwa wanakuja duniani kila baada ya miaka 3500 wakati sayari yao inapokuwa karibu na dunia yetu. Huja duniani kutafuta dhahabu ambayo wao huitumia ku repair roof ya sayari yao wasichomwe na jua pindi inapokuwa karibu na jua. Sasa huyu annunaki ndo alitemper na DNA ya viumbe waliokuwepo duniani na kutengeneza mwanadamu ambaye atatumika kama mtumishi wa kuwasaidia kuchimba dhahabu. So guys conspiracy theories zipo nyingi mnooo
we chizi kama jina lako na pia mshamba amna kukusanya video una paste link tu acha ushamba wewembn ni dak ata sijatumia dak 10Threads za kitoto sana. Yaani mtu anakusanya sanya videos youtube anakuja kuweka hapa hata akili za kufikiri hana.so pathetic.