The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Lol!!! Sis naona umemaliza kabisaNaona kama unaremba aiseee ana raho mbaya tena ya muuaji mkubwa huyo hafai kabisa.....
Lol!!! Sis naona umemaliza kabisaNaona kama unaremba aiseee ana raho mbaya tena ya muuaji mkubwa huyo hafai kabisa.....
nasikia ukikuwa unauza sura kwa wavaa skin jinsi za kike vp brother? Usharobaro umeuanza lini tena?lol!!! Sis naona umemaliza kabisa
umeona sis eeh ndoa ngumuuuuu........
Ukifuata ni kitu gani unahitaji kufanya kwenye ndoa naamini ndoa sio ngumu, ila sema "UMIMI" na "KUKOSA UAMINIFU" ndio kunafanya ndoa ionekane ngumu na chungu kwa wengine, kama wazee wetu waliweza kuishi kwenye ndoa miaka mingi watu wanafanya hadi anniversary za miaka 50 why not us tukiacha tamaa na kumtanguliza Mungu kwa kufanya maombi kuwa waaminifu na kushinda vishawishi tutafika mbali na kumbuka siku zote Mungu hamjaribu binadamu ila sie binadamu tunajitia majaribuni kwa matendo yetu wenyeweumeona sis eeh ndoa ngumuuuuu........
Mimi naona kwa kuficha siri hayuko peke yake huyu jamaa na kama issue ya kucheat aka kupiga nje inagusa wengi duniani humu si unajua?!Tena mangumi ya uso reception yote is laitioff kabisa shenzi sana hili jamaa pambaf zake
Fasheni muhimu muhimu mara moja moja si unaelewa tenanasikia ukikuwa unauza sura kwa wavaa skin jinsi za kike vp brother? Usharobaro umeuanza lini tena?
Ukifuata ni kitu gani unahitaji kufanya kwenye ndoa naamini ndoa sio ngumu, ila sema "UMIMI" na "KUKOSA UAMINIFU" ndio kunafanya kama wazee wetu waliweza kuishi kwenye ndoa miaka mingi watu wanafanya hadi anniversary za miaka 50 why not us tukiacha tamaa na kumtanguliza Mungu kwa kufanya maombi kuwa waaminifu na kushinda vishawishi tutafika mbali na kumbuka siku zote Mungu amjaribu binadamu ila sie binadamu tunajitia majaribuni kwa matendo yetu wenyewe
mmmh kikazi hiki? mpe bishanga ushauri kwanzaSio ngumu mdogo wangu Hii issue isikutishe kabisa... ni Ups and downs tu za ndoa....lol...
Inawajenga na kuwafanya wawe imara... hivo yule mchumba usimkatae kabisa...
ameeeeen kakaUkifuata ni kitu gani unahitaji kufanya kwenye ndoa naamini ndoa sio ngumu, ila sema "UMIMI" na "KUKOSA UAMINIFU" ndio kunafanya ndoa ionekane ngumu na chungu kwa wengine, kama wazee wetu waliweza kuishi kwenye ndoa miaka mingi watu wanafanya hadi anniversary za miaka 50 why not us tukiacha tamaa na kumtanguliza Mungu kwa kufanya maombi kuwa waaminifu na kushinda vishawishi tutafika mbali na kumbuka siku zote Mungu hamjaribu binadamu ila sie binadamu tunajitia majaribuni kwa matendo yetu wenyewe
Ukifuata ni kitu gani unahitaji kufanya kwenye ndoa naamini ndoa sio ngumu, ila sema "UMIMI" na "KUKOSA UAMINIFU" ndio kunafanya ndoa ionekane ngumu na chungu kwa wengine, kama wazee wetu waliweza kuishi kwenye ndoa miaka mingi watu wanafanya hadi anniversary za miaka 50 why not us tukiacha tamaa na kumtanguliza Mungu kwa kufanya maombi kuwa waaminifu na kushinda vishawishi tutafika mbali na kumbuka siku zote Mungu hamjaribu binadamu ila sie binadamu tunajitia majaribuni kwa matendo yetu wenyewe
Hahaha!!! Ngoja nije nifunge safari nije Hungumalwa nimuone shemeji yangu anayempa happiness Mr. RockyI wish sana nikuone na nione hii sura inayotoa busara za namna hii wakati ohata ndoa hana
U say it brother ni uaminifu na kumitanguliza Mungu katika kila jambo
Na ukiwa na upendo wa kweli ambao hauna kudanganya miongoni mwa wanandoa hata huko kucheat na kuachana kitakuwa historia
Mimi naona kwa kuficha siri hayuko peke yake huyu jamaa na kama issue ya kucheat aka kupiga nje inagusa wengi duniani humu si unajua?!
Bishanga naona unanichimba hadi unipate lol!!!bebii kanituma nikuulize,kwa nini unacheka?
Well siku zote huwa najua siku haiwezi kuisha au kupita hivi hivi bila kunichokoza lol!!Nimekupa ushauri wa working without drinking....lol... Umeona matunda yake?? (una mwaga tu pwoints hapa kwa B)
Ukifuata ni kitu gani unahitaji kufanya kwenye ndoa naamini ndoa sio ngumu, ila sema "UMIMI" na "KUKOSA UAMINIFU" ndio kunafanya ndoa ionekane ngumu na chungu kwa wengine, kama wazee wetu waliweza kuishi kwenye ndoa miaka mingi watu wanafanya hadi anniversary za miaka 50 why not us tukiacha tamaa na kumtanguliza Mungu kwa kufanya maombi kuwa waaminifu na kushinda vishawishi tutafika mbali na kumbuka siku zote Mungu hamjaribu binadamu ila sie binadamu tunajitia majaribuni kwa matendo yetu wenyewe
wewe utamtanguliza Mungu,utakuwa mwaminifu,utaacha tamaa etc etc sasa mwenzako jeeee,Mkuu si unajua we na mkeo mnakutana ukubwani?Ukifuata ni kitu gani unahitaji kufanya kwenye ndoa naamini ndoa sio ngumu, ila sema "UMIMI" na "KUKOSA UAMINIFU" ndio kunafanya ndoa ionekane ngumu na chungu kwa wengine, kama wazee wetu waliweza kuishi kwenye ndoa miaka mingi watu wanafanya hadi anniversary za miaka 50 why not us tukiacha tamaa na kumtanguliza Mungu kwa kufanya maombi kuwa waaminifu na kushinda vishawishi tutafika mbali na kumbuka siku zote Mungu hamjaribu binadamu ila sie binadamu tunajitia majaribuni kwa matendo yetu wenyewe
mmmh kikazi hiki? mpe bishanga ushauri kwanza
bishanga unanichokoza tena?bebii kanituma nikuulize,kwa nini unacheka?
Mkuu siku zote unapofanya maombi usijiombee wewe mwenyewe usiwe mbinafsi kwenye maombi muombee na mwenzako hata kama ilikuwa aingie kwenye majaribu kutokana na maombi yako Mungu anaweza kumuepusha, ni kweli wengi wetu tunakutana ukubwani lakini bado tuna nafasi ya kuweza kurekebisha mienendo yetu inawezekana kama ukiamua na inaweza isiwezekane usipoamua vile vilewewe utamtanguliza Mungu,utakuwa mwaminifu,utaacha tamaa etc etc sasa mwenzako jeeee,Mkuu si unajua we na mkeo mnakutana ukubwani?