usituhukumu wote bana!huyo jamaa ndo maana aliachana na mkewe kazidi roho mbaya na ni muuwaji anajua kuwa hawezi
kuzaa na hamwambii mkewe wa sasa hiyo ni tabia mbovu sana. (kama unaweza cheat naye azae) ila usimwambie chochote kuwa
muweze hawezi kuzaa tena.
Hapo tu ndipo huwa napandwa hasira na wanaume sijui mkoje roho mbaya tuuu
<br />Bishanga................ya leo eh!! Kiboko na hii akili nlonayo leo!! Mh. Kifupi mwuulize huyo shemejiyo kama mumewe amelalamika kwa wao kutokuwa na mtoto, la kama hajalalamika mweleze ajitulize na kupanga namna ya kumweleza mumewe juu ya huo mpango wake wa IVF ili aipate ridhaa ya mumewe. Otherwise anaitafuta talaka kwa nguvu!<br />
<br />
Mkumbushe rafiki yako kuwa alichofanya kinawezaitengua ndoa yake hii kwani alificha taarifa muhimu sana kwa mwenzi wake.
<br />washauri wa mambo wanasema siku zote usichukue maamuzi wkt una hasira japo ngumu ila tujitahidi kujizuia wakuu,maamuzi mengi wkt wa hasira lazima utajutia baadae,tujifunze kutokana na makosa ya wenzetu kwa ushauri ww mshauri huyo rafiki yako atafute siku nzuri akae na mkewe amweleza ukweli wakiwa wawili tu sasa hapo pia wanaweza kushauriana hilo la kupandikiza mbegu wao wenyewe bila kushawishiwa na watu wengine mkisha amua kuwa mke na mume mambo ya kufichana vitu ndo yanayosababisha migogoro ya kila mara ktk ndoa.
Mimi nimeangalia kwa mtazamo tofauti. Mwanaume ni muongo na mwanamke ni muongo vile vile au kama si muongo soon nae atakuwa hana tofauti na mumewe. Anawezaje kufikiria kupandikiza mbegu ya lijamaa asolijua eti ili apate mtoto bila kushauriana na mumewe?? Kuna tofauti gani na kuamua kutembea nje ya ndoa kutafuta mtoto??? Nani atamuamini kuwa amepandikiza kwa gharama kuuubwa au aliamua kuzini tu bure?
Mwanaume kufanya vasectomy sioni kuwa ni tatizo ila alipaswa kuoa mwanamke mwenye watoto; ukioa mwanamke aso na mtoto na wewe huna uwezo wa kuzaa ni obvious itakuwa tabu. Si watu wote wanaoa ili wazae hasa kama tayari alikuwa na mtoto. Unaweza kuta jamaa wala hajutii uamuzi wake kwani ana shida gani na watoto anao. Yeye ameoa kupata kampani a.k.a starehe; ya watoto wala hayamuhusu.
Embu mshauri huyo dada atafute mtoto yatima alee.
usituhukumu wote bana!
<br />Mimi nimeangalia kwa mtazamo tofauti. Mwanaume ni muongo na mwanamke ni muongo vile vile au kama si muongo soon nae atakuwa hana tofauti na mumewe. Anawezaje kufikiria kupandikiza mbegu ya lijamaa asolijua eti ili apate mtoto bila kushauriana na mumewe?? Kuna tofauti gani na kuamua kutembea nje ya ndoa kutafuta mtoto??? Nani atamuamini kuwa amepandikiza kwa gharama kuuubwa au aliamua kuzini tu bure?<br />
tatizo love is blind,kwanza you fall in love maswali mengine ya una mtoto huna,unazaa huzai hayo huja baadae.
<br />
Mwanaume kufanya vasectomy sioni kuwa ni tatizo ila alipaswa kuoa mwanamke mwenye watoto; ukioa mwanamke aso na mtoto na wewe huna uwezo wa kuzaa ni obvious itakuwa tabu. Si watu wote wanaoa ili wazae hasa kama tayari alikuwa na mtoto. Unaweza kuta jamaa wala hajutii uamuzi wake kwani ana shida gani na watoto anao. Yeye ameoa kupata kampani a.k.a starehe; ya watoto wala hayamuhusu.<br />
<br />
Embu mshauri huyo dada atafute mtoto yatima alee.
mh!! umenikumbusha mbali.......naijutia.......ngoja kwanza nipite....hata sijui kama naota ama ilikua kweli.....hapana naota. sioti bali nimelala. nimelala nikiwa macho. mimi sijui bana. mkuu unanitesaHela wanazoenda kuspend kupandikiza mbegu na kumaintain ingefanya vitu vingine vya muhimu, hii issue haina tofauti na mtu anayeenda kufanya abortion maana siku ukiwa na unataka kupata mtoto inashindikana maana uliishafanya abortion mpaka sasa jamaa anajaribu kukwepa kivuli chake naye mwanamke maskini kwa kotokujua kwa kuona kuwa jamaa ana watoto wawili basi anahisi yeye ndiyo mwenye matatizo sijui jamaa yake Bishanga anajisikiaje kwa hili noma sana yaani anyways sijui mimi maana watu wanaweza kuanza kusema haujaingia kwenye ndoa ndio maana naongea hivi ila all in all it's not fair not fair at all
macompex issue yote ni ya ndoa heri sisi huku nje kila kitu simple