Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,604
- 78,949
Hahahaha ,hata huko alikua anaforce u ,namjua toka enzi za ' Indiana police' maskan ,nyuma ya makumbusho schoolKalapina aliishia kuwa mbabe wa wasanii tu. Kamwe asingeweza kugusa himaya ya wababe halisi. Yeye alikua mbabe wa akina Juma nature, Mwana FA na wengineo