Elections 2010 Value for Money: Matundu ya Choo Bagamoyo...

Ilumine

Senior Member
Dec 27, 2008
196
4
Leo hii, nilikuwa nikifuatilia hotuba ya Daktari wa kweli Slaa, live TBC1.

Nilishtushwa na zile data alizozitoa, anasema zilisomwa mbele ya JK katika mojawapo ya ziara zake. Milioni mia saba zilitumika kujenga matundu manne ya vyoo katika shule moja! Tunaelekea wapi watanzania?


Jamani, ufisadi Tanzania umekithiri, hivi tunaibiwa fedha zetu namna hii!

Wageni wawekezaji wanajivunia madini bila jasho, wanatuachia mashimo na kemikali chafu, wazawa mafisadi ndio wanafuja mali zetu namna hii! Inaniuma sana.


Basi jamani, inatosha, tuwang'oe sasa mafisadi hawa, ili kidogo tulichonacho kitumike kwa manufaa ya wote. Nawasilisha!
 
toooooooba hayo mashimo yalizibwa kwa dhahabu? au alijisahau alitakiwa aseme zilitumika katika shoping ya salma na ridhiwani
 
enough is enough! Hawa mafisadi ni lazita tuwang'oemwaka huu!
 
Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.
 
Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.

Mzee mwenzangu, za leo?

Hayo mashimo nadhani yamefanyiwa finishing ya Gold kutoka Buzwagi.
Other wise yatakuwa ni marefu ya maili kadhaa.

Hiii hii hiii!
 
kwa kweli nina hamu ya kuyaona au hata kwenda kuyatumia kuweka kumbukumbu kuwa I too.. used the matundu!

Mzee mwenzangu, za leo?

Hayo mashimo nadhani yamefanyiwa finishing ya Gold kutoka Buzwagi.
Other wise yatakuwa ni marefu ya maili kadhaa.

Hiii hii hiii!

Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.
hahahaha hahahaha hahahaah oyaa sie wengine hatujala chai bana.

lakini hii inaonesha namna ambavyo hata kwenye jimbo analotoka rais hakuna unyoofu wa matuzimi.
Matundu shs milion 700???
contractor ni nani hapo?? na si bure wakati wanajenga hayo matundu walizungushia mabati na kweka project banners

ah inaudhi
 
Ni kweli kuna walakin somewhere, unless mtu alete evidence ya anachokisema Dr Slaa, I am made to believe kuwa ni pure fabrication
 
Ni kweli kuna walakin somewhere, unless mtu alete evidence ya anachokisema Dr Slaa, I am made to believe kuwa ni pure fabrication


Unataka ushahidi gani zaidi wa ule alioonyesha Dr. Slaa kwenye ripoti ya utekelezaji ya Jimbo la Bagamoyo. Ripoti iliyosomwa na Kawambwa mbele ya Kikwete.

Kama huamini waulize ccm kama watabisha au Kawambwa kama atabisha
 
Manispaa ya kinondoni imejenga matuta 2 ya barabarani pale komakoma mwananyamala kwa tsh 43 Milioni.Hiyo ndio CCM
 
Matundu manne ( 4) kwa sh.400,000,000/= ni ajabu la tisa la dunia!!
Kwanini wasingejenga nyumba - behewa la vyumba kadhaa wakawapatia wananchi makazi bora badala ya tembe na manyasi?Kuna mantiki kutumia choo cha milioni 700 wakati huna pa kulala? ****** mtu anaenda mara ngapi kwa siku?
 
Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.
Mzee Mwanakijiji, naitafuta hii kwenye ripoti ya CAG, japo siamini kuwa ni kweli, kuna una uwezekano mkubwa the true value ni Milioni 70, lakini wakaandika kwa makosa milioni 700! Common sense hainitumi kuamini hizo figure ni za ukweli, japo kama ni kweli imeandikwa kimakosa, Dr. Slaa is still right kusema kilichoandikwa but might have failed to make sense of it!
 
Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.

Na sasa mgombea wa Monduli wa chadema (Mollel Amani) alisema kwenye press conference kwamba alipewa hongo ya millioni mia juzi na viongozi wakimasai ili asiendelee na kugombania hio nafasi ya bunge wa monduli. Ebana kuna kazi. hahahahahaha. :rip:
 
Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.

Mkuu, naomba kukusahihisha kidogo. Gharama ya matundu hayo kwenye choo moja ni milion 700 na jumla kwenye kata ndo hiyo 3.5bn ambayo bado pia ni kubwa mno.

Huyu rais anaendeleza ubaguzi. Bagamoyo, shule na vitu vingine vinatolewa na serikali wakati maeneo mengine yanajengwa na wananchi.
 
Jamani Dr. Slaa amerudia tena suala hili la kuwa huko Bagamoyo kuna matundu ya vyoo yamejengwa kwenye shule moja huko kwa gharama ya karibu shilingi bilioni tatu hivi. Tungeweza kupata picha za matundu hayo tuweze kupima kama suala la value for money lilizingatiwa...

Maana kama Nyumba ya GAvana wa BoT iligharimu karibu bilioni 3 na matundu ya vyoo nayo bilioni 3 kuna mahali kuna mtu kajumlisha vibaya. Natumaini haya mashimo lazima yawe ni first class kwa kweli kama kweli yapo.

Tundu moja la choo ni Shilingi 750 millioni! wakati madarasa ni mbavu za mbwa!
 
Mzee Mwanakijiji, naitafuta hii kwenye ripoti ya CAG, japo siamini kuwa ni kweli, kuna una uwezekano mkubwa the true value ni Milioni 70, lakini wakaandika kwa makosa milioni 700! Common sense hainitumi kuamini hizo figure ni za ukweli, japo kama ni kweli imeandikwa kimakosa, Dr. Slaa is still right kusema kilichoandikwa but might have failed to make sense of it!

Hata kama imekosewa! haya ngoja tuseme ndio wamekosea kwa bahati nzuri maaana zingine wanaziweka kwa mifuko yao kwa kukosea makusudi,
Yet its doesnt make sense to other tanzanian kuwa vyoo vinagharimu 70M kwa figure hiyo pia, vyooo tuuu jamani au Bagamoyo yote walijenga vyoo vya shule zilizoko hapo?

 
Back
Top Bottom