Hili povu linatosha kufulia mashuka ya wodi nzima pale Muhimbili. Umeielewa mada lakini?Mbona mnajipa credit zisizokuwa na maana yoyote, Yanga ingemtaka Ngoma kwa akili zako wangeshindwa kumpata? Mashabiki wa Simba mlipoletewa manzoki kwenye mkutano na mkapiga makofi ndipo nilipoona ya kuwa amnazo! Mnadanganywa na viongozi wenu kwamba walimchukua Ngoma airport na nyie mkaunga tela bila ata kuishughulisha kidogo akili yenu!!! Porojo zile ndizo unaleta hapa eti alidakwa juu kwa juu🤔🤔🤔 uyo Ngoma wako pale yanga anachukua namba ya nani labda kwenye first eleven???
Yanga aikuwa na mpango na uyo Ngoma mnayemuona kwenu ni star pale yanga akuwa na nafasi uchezaji wake wa staili ya konokono alikuwa anawafaa nyie mkae mkilijua ilo muache propaganda za kijinga kijinga!
Rejea kauli yako ya kusema alidakwa juu kwa juu, ni nani wa kwenda kumdaka mchezaji anayejitambua juu kwa juu? Mchezaji mwenyewe ni Ngoma ebu jitafakari kabla ujaandika ulichokiandikaHili povu linatosha kufulia mashuka ya wodi nzima pale Muhimbili. Umeielewa mada lakini?
Na kwa uelewa wako hiyo umeona ndiyo mada ya uzi huu?Rejea kauli yako ya kusema alidakwa juu kwa juu, ni nani wa kwenda kumdaka mchezaji anayejitambua juu kwa juu? Mchezaji mwenyewe ni Ngoma ebu jitafakari kabla ujaandika ulichokiandika
Nimekwambia futa kwanza kauli yako ya kusema alidakwa juu kwa juu ndiyo tujadili mengine usitake kujificha kwenye kichaka cha mada ya Uzi, lazima urekebishe kwanza "vimaneno" vya ovyo alafu tuendelee!Na kwa uelewa wako hiyo umeona ndiyo mada ya uzi huu?
Naelewa na kutambua kuwa kama nchi tuna changamoto ya "reading comprehension" kwa hiyo nitaenda na wewe polepole.Nimekwambia futa kwanza kauli yako ya kusema alidakwa juu kwa juu ndiyo tujadili mengine usitake kujificha kwenye kichaka cha mada ya Uzi, lazima urekebishe kwanza "vimaneno" vya ovyo alafu tuendelee!
Alishafariki mbona.aiseee hivi warumi yupo wapi?? mbona kitambo sana??