Uzuri wasababisha mke kupewa talaka

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,832
1671161680772.jpg

Bwana mmoja raia wa Zimbabwe Arnold Masuka (40) ameacha watu vinywa wazi baada ya kuiambia Mahakama hamuhitaji tena mkewe Hilda Mleya (30) kwa sababu ni mzuri kupita kiasi.

Arnold mbele ya Jaji Henry Chizvidzo ametoa malalamiko hayo ambapo amesema ametoa talaka kutokana na kukosa usingizi kabisa kwa uzuri wa mkewe.

Anasema hali hiyo imemfanya imekuwa mbaya sana kwake kwani anaogopa hata kwenda kazini au kumuacha peke yake akiogopwa atawindwa na wanaume wengine.

Jaji amesema hii ni mara yake ya kwanza kusikiliza kesi ya aina hiyo.
 
Kaamua kujivua jakamoyo... Japo angejua hata akiwa mbaya uliwaji anaouogopa upo tu.
 
Hakuna kitu kibaya kama una mke na Bado una fikra mbovu kuwa unaweza chapiwa! Huwa ni kero hata kwa mke!!
 
View attachment 2448327
Bwana mmoja raia wa Zimbabwe Arnold Masuka (40) ameacha watu vinywa wazi baada ya kuiambia Mahakama hamuhitaji tena mkewe Hilda Mleya (30) kwa sababu ni mzuri kupita kiasi.

Arnold mbele ya Jaji Henry Chizvidzo ametoa malalamiko hayo ambapo amesema ametoa talaka kutokana na kukosa usingizi kabisa kwa uzuri wa mkewe.

Anasema hali hiyo imemfanya imekuwa mbaya sana kwake kwani anaogopa hata kwenda kazini au kumuacha peke yake akiogopwa atawindwa na wanaume wengine.

Jaji amesema hii ni mara yake ya kwanza kusikiliza kesi ya aina hiyo.
mzabzab, jimbo limepoteza mbunge, mbunge kaona bora tu apige chini
 
LIKUD aliwahi kushusha Uzi humu kuhusu hatari ya kumiliki mwanamke pisi Kali.Sio nzuri kuishi na mwanamke mrembo kupitiliza hata Mimi mwenyewe siwezi kbsa.

Aisee hutokaa uache kuwa na insecurities juu yake maana atakuwa anaziteka nyoyo za wanaume wengi na hapo kugongewa Ni dakika sifuri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom