mkuu hawa kweli ndo wazuri, ha ha ha ha ha ha ha ha ha! duuuuuuu! anza kutumia miwani
Wamejitahidi kutopiga mikorogo ila si wakali kivile. Wangekuwa wa UDSM weeh! Si maanishi wote ila wanakuwa Pepsi-Mirinda kinoma.
Kweli kabisaMh wabongo tunawafunika vibaya sana sijaona kitu hapo
Warembo wamependeza sana!
Hawa wanaweza kushinda katika mashindano ya Miss Africa na Miss Universe.
Sono belle donne!
sono puramente naturale!