Uzuri wa totozi za chuo Kenya

Kwa kweli wame Bore, watoto wenyewe wapo wapi? Mi naona ulitaka kuonesha kuwa umesoma Kenya, hongera kwa hilo.
AM SORRY - THREAD INA BORE SANA HII - SASA GREAT THINKER AFANYE NINI??? AFIKIRI NINI AU ACHANGIE NINI HAPA???KWANZA INAONYESHA JINSI WANAFUNZI WENGINE WANAVYOKUWA WALEVI BADALA YA MASOMO - kama ni good time sasa ndio hapo vyumbani mwao???? :hurt:
 
Hawa ni wanafunzi wa chuo? kumbe bora hata wanavyonyimwa mikopo.....
 
nimewahi kuwa na mademu wawili wa kikenya,wote walikuwa wananuka midomo kwa kwenda mbele,lakini mswaki wanapiga
 
Back
Top Bottom