APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,048
- 8,628
Mtume anatuasa
Tuoe wanawake wazuri,
Tuoe wanawake waliotoka familia zenye vipaji,
Tuoe wanawake waliotoka familia za wasomi,
Sasa haya matabaka mengine sijui kwa nini hakuyazungumzia,
kwa mwenye uelewa anifafanulie zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuoe wanawake wazuri,
Tuoe wanawake waliotoka familia zenye vipaji,
Tuoe wanawake waliotoka familia za wasomi,
Sasa haya matabaka mengine sijui kwa nini hakuyazungumzia,
kwa mwenye uelewa anifafanulie zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app