UZURI WA MWANAMKE NI NINi?


My dear siku hizi vibinti tu ndio haviko kwenye sense when in love
Ila sisi wa siku hizi we are in full sense but play fool to fool or going along with u guys...
Ogopa smile ya mudada wa mjini....
Ogopa I love u ya mudada wa mjini coz inamaanisha I love ur pocket...
Ukimvuruga kidogo yeye anakuvuruga zaid...
 

Nakubali saana Nambe.
Ila ni kwa wale wanaume walio chizika. Endelea tu mdada kuna siku utakutana na type ambayo weye ndo utanilisha na kuninywesha tu. Tupo mdada kama huja hamisha vyombo vya chumba ulete huku. Ni PM nikuongoze
 
Ungeweka na picha ya uzuri mwingine ingekuwa vizuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…