mutu ya momba
New Member
- Jan 28, 2016
- 4
- 11
Mwaka huu(2020) mwanzon niliamua kuanza ufugaji wa kuku chotara. Niliamua kuanza na kuku 120. Nlinunua vifaranga wa mwez mmoja
Changamoto
Magonjwa, hii ilkuwa changamoto ndogo magonjwa hayakuwa meng. Niliweza kuyatibu kwa wakati Ukuaji, niliambiwa wataanza kutaga wakifikisha miez minne.. lakn kiuwel walianza kutaga walipofikia miez 6.
Mapato
Nilitegemea kukusanya trei tatu kwa siku ambazo ngeuza elf kumi kwa trei.Wastan wa lak 9 kwa mwez.😀😀😀😀haikuwah kuwa hivo.
Nlkusanya mayai maximum trei mbili kwa siku bei elf saba mia tano kwa trei lak nne na nusu kwa mwez kwa wastan
Hitimisho
kuku hawa walikuwa wanakula kg 390 kwa mwez wastani wa mifuko 8 wastan wa 360,000/=kwa mwez ukiweka madawa na gharama zngne inakuwa lak nne kwa mwez. Kuna kipind walitaga pungufu ya trei mbili. unaweza ona hasara niliyopata. Wanaopata faida sijui wanatumia ujanja gani.
Changamoto
Magonjwa, hii ilkuwa changamoto ndogo magonjwa hayakuwa meng. Niliweza kuyatibu kwa wakati Ukuaji, niliambiwa wataanza kutaga wakifikisha miez minne.. lakn kiuwel walianza kutaga walipofikia miez 6.
Mapato
Nilitegemea kukusanya trei tatu kwa siku ambazo ngeuza elf kumi kwa trei.Wastan wa lak 9 kwa mwez.😀😀😀😀haikuwah kuwa hivo.
Nlkusanya mayai maximum trei mbili kwa siku bei elf saba mia tano kwa trei lak nne na nusu kwa mwez kwa wastan
Hitimisho
kuku hawa walikuwa wanakula kg 390 kwa mwez wastani wa mifuko 8 wastan wa 360,000/=kwa mwez ukiweka madawa na gharama zngne inakuwa lak nne kwa mwez. Kuna kipind walitaga pungufu ya trei mbili. unaweza ona hasara niliyopata. Wanaopata faida sijui wanatumia ujanja gani.