Gyole JF-Expert Member Sep 20, 2013 7,007 7,045 Sep 30, 2018 #41 Kama mlichubuka ni rahisi kuambukizwa, vinginevyo uko Salama, na kama anatumia ARV uwezekano wa kutoambukizwa ni mkubwa
Kama mlichubuka ni rahisi kuambukizwa, vinginevyo uko Salama, na kama anatumia ARV uwezekano wa kutoambukizwa ni mkubwa
Kaguo Willy Senior Member Nov 3, 2016 194 172 Oct 1, 2018 #42 Mkuu unapaswa kwenda kuchek your health first ili uwe na uhakika kama umenasa au la