Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,186
- 10,922
Marekani haikujua kuwa wamechokoza adui ambaye anaweza akawaletea kusalimu amri kwa mara nyengine kama ilivyotokea kule Vietnam na Afghanistan.
Wapiganaji wa Houth wamesema wana mikakati endelevu ya kupigana na Marekani mpaka pale Israel itakapoacha uadui na Palestina.
Mikakati iliyotajwa na mmoja wa makamanda wakuu wa Houth ni pamoja na kuimarisha ngome zao ndani ya milima inayotazamana na baharai nyengine ambamo tangu hapo silaha hata nyuklia ni shida kupenya.
Mkatati mwengine ni kuanza kutumia nyambizi zake ambazo jeshi la Marekani bado haijakuwa na silaha ya kupambana na vifaa hivyo.
Wiki hii wanamgambo hao wamekuwa na harakati kubwa za kutoa mafunzo kwa askari wapya wasiopungua laki moja na khamsini elfu
Wapiganaji wa Houth wamesema wana mikakati endelevu ya kupigana na Marekani mpaka pale Israel itakapoacha uadui na Palestina.
Mikakati iliyotajwa na mmoja wa makamanda wakuu wa Houth ni pamoja na kuimarisha ngome zao ndani ya milima inayotazamana na baharai nyengine ambamo tangu hapo silaha hata nyuklia ni shida kupenya.
Mkatati mwengine ni kuanza kutumia nyambizi zake ambazo jeshi la Marekani bado haijakuwa na silaha ya kupambana na vifaa hivyo.
Wiki hii wanamgambo hao wamekuwa na harakati kubwa za kutoa mafunzo kwa askari wapya wasiopungua laki moja na khamsini elfu