kifii sheria
Member
- Jun 9, 2022
- 7
- 2
nakubaliana na mtoa mada.Wakati sasa umefika wa kutunga sheria mpya ya kudhibiti dhambi ya uzinzi, kama ilivyo kwa makosa mengine.
Sheria hiyo mpya iweke wazi kuwa, mtu yeyote akizini atakuwa ametenda kosa la jinai na apewe adhabu kali.
Tukifanikiwa kutunga sheria hii, tutaweza kupunguza mimba za utotoni kwa kiasi kikubwa.
1. Uzinzi ni dhambi, hilo halina mjadala kwasababu vitabu vya dini vinaeleza hilo. uzinzi maana yake ni kufanya mapenzi na mtu asiye mke wako (kwetu sisi wanaume).
2. uzinzi ni kosa la jinai kama umeufanya na mwanamke kwa kulazimisha (bila ridhaa yake). adhabu yake ni kifungo kisichopungua 30yrs hadi life.
3. uzinzi hata kama umetokana na ridhaa, kama mwanaume mtu mzima ataufanya na binti chini ya miaka 18 ambaye sio mke wake, ni kosa la jinai. adhabu yake ni kifungo cha miaka isiyopungua 30 hadi life.