Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Arumeru (CHADEMA)

hongereni mlioko ARUMERU EAST tunaomba picha za malori ya magamba siku ya uzinduzi wao watakapokuwa wanasomba raia kuhudhuria.

pa1 saanaa.
 
Nimesha fika eneo la tukio,maandalizi yana endelea vema.jimbo licpo chukuliwa na chadema ,cjui kutakua kumetokea jambo gani.
 
Vipi mbona mnasita sita kuzindua kampeni?VIlikuwa jana mkasema leo, leo tena imekua jumatatu. Halafu inasemekana SIOI sio mtanzania hili mmeshali solve?

Kwa kifupi wapo katika hali ya Sintofahamu maana hata Rais Mstaafu Benjamin Mkapa amekataa kumnadi MKENYA.

 
Kume inasemekana???
halafu msiwe wagumu sana kuelewa...soma hii statement hapa "all the official organs responsible for dealing with citizenship issues in the country have confirmed that Sumari is a citizen"
Mswahili kwa kuhusudu kidhungu umeona ukileta imeandikwa kiingereza watu wataamini.
 
Mkuu mmekosa mtanzania wa kugombea hadi mnatuwekea mungiki.

Mkuu Feedback,
Kwa kweli ni jambo la kusikitisha sana kwamba licha ya maelfu ya wanachama walionao, CCM imeona wote hawafai ikaona bora imlete MKENYA. Sasa kama wamefika hatua hii kuna kila dalili 2015 wakatuletea Mgombea Urais wa Kisomali!

 
Tanesco watafanya hujuma saa tisa ili watanzania wasiweze kuona live ufunguzi huo wa kampeni kwa kukata umeme baadhi ya maeneo mtayarishe majenereta... Chanzo Facebook
 
Ni mambo ya kujipanga tu....
Arumeru hatuhitaji kutumia nguvu kubwa cuz tunakubalika!
Vipi, mmeshasolve matatizo ya kifedha yanayowakumba?
Subiria Moto utakaowashwa na nguvu ya uma leo. Ambia magamba waandae malori ya kutosha kusombea watu kwenda kwenye mikutano yao.
 
CADEMA go go go gooo!!!
Nami najielekeza kwenye Kampeni za ufunguzi huko usa riva sasa hivi. Mkutano ni saa nane, pale Leganga, oposite na Usa Plaza. Twendeni twendeni tukawashe moto.
 
Niko kwenye msafara unaotoka KIA, tumefika maji ya chai. Kila kituo msafara unazuiwa na wananchi kusalimia.
 
PICHA TU ANAGALAU YA MTU MMOJA WA KWANZA . Mimi ctaki weengi. Najua wapo sana tu. Nasubiri wafike mbuguni centre uone vjana walivyo amua!
 
Kume inasemekana???
halafu msiwe wagumu sana kuelewa...soma hii statement hapa "all the official organs responsible for dealing with citizenship issues in the country have confirmed that Sumari is a citizen"

Mkuu Rejao
Ki ukweli Arumeru mmeshikwa pabaya. Ili kushinda pale, hazina yenu yote mtapukutisha.
 
Back
Top Bottom